Sisi tulishawaambia nyie tupeni ubingwa mpka wa kutype na kushinda JF...hilo halituhusu kikubwa tuliwakandaa...mtakandwa na leo...na ihefu iliwakanda...baaasi roho zetu kwatuuu.. π π π πWe jua tu
Shindeni Leo mchukue ubingwa wa Ligi Kuu NBC
Anakuchania mkeka!l?Kmmk yanga mcenge sn[emoji3525]
Si wameshampa U king..yani wenyewe bila rasta hawajiamini..yang`aa bila mayele ni wanalowaaa tu
Ubingwa wenu wa kumfunga Yanga kumbe,ahaaaaaaaSisi tulishawaambia nyie tupeni ubingwa mpka wa kutype na kushinda JF...hilo halituhusu kikubwa tuliwakandaa...mtakandwa na leo...na ihefu iliwakanda...baaasi roho zetu kwatuuu.. π π π π
Pole mkuuAisee anauchana mkuu,
Jana usiku naingia 1xbet nakuta YANGA kawekewa odd 2+ ashinde nikazishobokea
Hahahahahha ubingwa wetu wa kila kituUbingwa wenu wa kumfunga Yanga kumbe,ahaaaaaaa
Wanachezea ndege ya mama halafu wanabamizwaπHaya haya tukiwa kwenye dakika za lala salama Leo wanafainali wa kombe la shirikisho watavaana na Mbeya city pale jijini mbeya.
Mechi itaanza saa 10 kamili. Mechi hii ni muhimu zaidi Kwa upande wa Mbeya City kwani wakishinda itawanusuru na kushuka daraja. Lakini Kwa upande wa Yanga itatoa nafasi zaidi Kwa wale wachezaji ambao walikua hawapati nafasi mara Kwa mara.
Leo fundi Dickson Ambundo yupo ndani.... Kwa wazee wa mikeka hii game ipe Goli mbili plus hutakosa hela ya supu asubuhi kwa mama Amina pale na chapati zako tatu..
Kikosi cha Yanga kinachoanza ni hikiView attachment 2647874
Sawa,mtufunge tena msimu ujao,wakati huo tuko bize kuwafunga wababe wenu akina Wydad,Al Ahyl na kenge wengineHahahahahha ubingwa wetu wa kila kitu
Watoe hata GG tuYanga wameuza hii match, khaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wahi kwa mama J akakupooze machungu.Aisee YANGA anachana mkeka wangu[emoji3525]
,
Jana usiku naingia 1xbet nakuta YANGA kawekewa odd 2+ ashinde, nikazishobokea[emoji26]
Tunakandwa la tatu hapaWahi kwa mama J akakupooze machungu.
Utopolo hawezi kushinda.
Usijali kama ubingwa wetu mnaotupa hauwakeri basi tulia tuu mzee baba..Leo shindeni goal nyingi ubingwa upo wazi
gooooooooo 3:0 sixtus sabiloTunakandwa la tatu hapa