FT: NBC Premier League | Mtibwa Sugar 0-3 Simba SC | Live Updates | Manungu Stadium

6'

Moses Scars Phiri anapiga shuti na koukolewa na mlinda mlango lakini kibdendera kilikuwa tayari juu
 
Baleke alikuwa anataka kufunga bao la pili lakini mlinda mlango kaokoa shambulizi na kuwa kona
 
Assist ya 9 kwa Saido
 
Kila baada ya dakika 2 tunafunga goli halafu mechi ni dakika 90 uki minus hapo unapata kimbari
 
yanga itabaki club yenye mpira mzuri, sio hawa walevi
 
07' Balekeee Goooooooooooooaaal gooal

Jean Baleke anaweka kambani bao la pili kwa Simba SC

Mtibwa Sugar 0-2 Simba SC
Tupe raha mnyama tupe rahaaa.. Leo tunataka hamsaaa[emoji173][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…