FT: NBC Premier League | Mtibwa Sugar 0-3 Simba SC | Live Updates | Manungu Stadium

FT: NBC Premier League | Mtibwa Sugar 0-3 Simba SC | Live Updates | Manungu Stadium

japo timu mbovu ila huwez fika goli 4
Kumbe timu mbovu ndio zinafungwaga 4 sio?

1678540466816.png
 
Nipo Nyumbani nikasema ngoja nichek hii game kumbe walevi watupu wamekutana.

Sasa tukipeleka timu 4 kwenye mashindano ya CAF kutakuwa na tija gani kama timu zenyewe ndio kama hawa Mtibwa?
 
Nipo Nyumbani nikasema ngoja nichek hii game kumbe walevi watupu wamekutana.

Sasa tukipeleka timu 4 kwenye mashindano ya CAF kutakuwa na tija gani kama timu zenyewe ndio kama hawa Mtibwa?
Kwani itaenda mtibwa mkuu,ataenda yanga b yule wa singida
 
Mchezo ni saa 16:00

Vikosi vyote kwa timu mbili vimetolewaView attachment 2546081View attachment 2546085

Timu zinaingia uwanjani
Mchezo unaanza
1' Phiri anafika langoni mwa Mtibwa anashindwa kutumia nafasi vizuri
3'Goooooooooo
Jean Baleke anafunga goli kwa kwanza kwa Simba licha ya kubanwa na walinzi
7' Goooooooooo
Baleke anafunga goli la pili kwa kichwa akimalizia asisti ya Saido
Mpira au rede
 
Kona ya 3 kwa Mtibwa lakini shambulizi linaondolewa kwenye eneo la hatari
 
Back
Top Bottom