Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli mkuu mkikutana na yanga mtaeleza hizi goli 2-3 mlikuwa mnazipatajeSubiri kidogo tuna jambo letu
mwaka gani hii na kombe gani,
Tupo tele... Siyo Uto mnasubiri mpaka msikie kelele kutoka vibandaumizaWanasubiria mb za bure kutoka kwa Mwenyekiti wa timu. Mbaya zaidi Mwenyekiti mwenyewe naye amepigiwa ili kukumbushwa, simu yake inaita tu.
Ook sawa ngoja tuupe muda wakatikweli mkuu mkikutana na yanga mtaeleza hizi goli 2-3 mlikuwa mnazipataje
Mwanaume
Ni vile tu wachezaji wa Mtibwa bado wapo kwenye majonzi mazito ya kumpoteza mwenzao Iddi Mobby Mfaume.Aisee [emoji23]
Mmh hayaNi vile tu wachezaji wa Mtibwa bado wapo kwenye majonzi mazito ya kumpoteza mwenzao Iddi Mobby Mfaume.
Bila hivyo, leo pangechimbika.
Kwani itaenda mtibwa mkuu,ataenda yanga b yule wa singidaNipo Nyumbani nikasema ngoja nichek hii game kumbe walevi watupu wamekutana.
Sasa tukipeleka timu 4 kwenye mashindano ya CAF kutakuwa na tija gani kama timu zenyewe ndio kama hawa Mtibwa?
Umesahau ule ushindi wenu wa mashaka/bahasha? wa 0-1 dhidi ya Mtibwa?Nipo Nyumbani nikasema ngoja nichek hii game kumbe walevi watupu wamekutana.
Sasa tukipeleka timu 4 kwenye mashindano ya CAF kutakuwa na tija gani kama timu zenyewe ndio kama hawa Mtibwa?
Mpira au redeMchezo ni saa 16:00
Vikosi vyote kwa timu mbili vimetolewaView attachment 2546081View attachment 2546085
Timu zinaingia uwanjani
Mchezo unaanza
1' Phiri anafika langoni mwa Mtibwa anashindwa kutumia nafasi vizuri
3'Goooooooooo
Jean Baleke anafunga goli kwa kwanza kwa Simba licha ya kubanwa na walinzi
7' Goooooooooo
Baleke anafunga goli la pili kwa kichwa akimalizia asisti ya Saido