Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
- Thread starter
- #181
Chilunda napenda nikuome uwanjani aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cha kusikitisha zaidi tukabeba ngao mbele ya yanga... tulisikitika sanaSimba tumecheza huko Tanga dakika 180 bila kupata goli hata la offside.
Mwenzangu unaona ni jambo la kawaida hilo?
🤣🤣🤣🤣🤣🤸🤸Kubishana na mtu wa Yanga ni kupoteza muda. Bora kucheza mdako
Duuu, edit mkuuAzam Kafa 1 huko Ethiopia.... Full time
Moses Phiri ni touch yake ya pili tangu aingie
Bado tunakosa goli nyingiii fanta
Wakutane mara ngapi vidonda vya mkwakwani havijaponaPiga na ww si mtakutana nao ndo uanze kuongea
Msimu uliopita goli nyingi za phiri pasi za mwisho zilitoka kwa chamaPhiri na chama wanaelewana on passing
Mdada mrembo hivviiii [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Simba Mpigwe tu[emoji57]