Hahahaa. Na kweli mnachanja mbuga.Tunazidi kuchanja mbuga. Cha pili
Aisee! Huna undugu na Manara kweli wewe?puliza filimbi au huna pumzi?
Ndio hivyo tena. Huku mkiendelea kudhani sisi tunakusanya point 3 muhimu.Hata mechi hii ilikua ngumu
Goli lenu la kwanza ni uzembe wa kipa au labda alisharushiwa muamala..maana mpira unapita mbele yake taratibu anauangalia tu
Goli lenu la pi ni clear off side
Kwa umiliki mzuri waliokua nao kagera na leo pia mlikua mbalala,juhudi zenu za nje ya uwanja zimewabeba.
Weeee. 🤣🤣Jambo letu lipo half way. Halijakamilika bado, huyu natakiwa atiwe adabu
Halafu kuna kitu nimekiona hapo. Aisee ntakuiga soon. 🤣🤣Mimi ni Yanga,ile sio offside
Sio uongo Mkuu na mpaka saa hii mnafanya wachezaji wa Yanga wajue safari haijaisha bado hivyo ni kama mmetuongezea presha ya na sisi kufanya vizuri mechi zijazo.
Yaani tulijichanganya pale Tanga na Moshi na Mbeya Kwanza kupoteza point 6. Sasa hivi tunge hesabu 2 tu.😂😂 Nimekuja Ntani.
Kama nakuona unavyojuta vile mlivyoboronga mechi za nyuma.
Zimebakia ngapi kwani? 🤣
Na kama game ya juzi wao akili zao sijui ndo zilikuwa zinafikiria kutetema tu 🙁Wachezaji wa Yanga wakiacha mambo ya kitoto uwanjani, (ya kulazimisha kutetema) mbona ubingwa saa mbili tu asubuhi!
Simba atashinda kwa Mkapa tu! Akienda kucheza mechi za Mkoani, akijitahidi sana ni sare.
Ya darasa la ngapi mdogo wangu. 🤣🤣🤣Haya uto tunaomba matokeo
Uje nilivyoona yale mahovyo hovyo anafanya Kagera nikajilalia zangu. 🤣
Kajificha tumtegemee baada ya namanyele kutetema
Sio jumapili Mtani?Dodoma FC wameiimarika. Tukutane kesho
Aisee! 🤣
Ujue hadi nashangaa hii nguvu wanaitowa wapi wakati wana points kibao za kupambania na no Viporo. 😀Tafta Kwanza points 8 ndio tuanze ligi upya
Huyu jamaa katisha Mtani. 🤣🤣🤣Cc. Proved OKW BOBAN SUNZU Scars ntazana ntazana Shadeeya Numbisa ukikaidi utapigwa2 Pettymagambo
Wameshaanza kupandisha presha. Badala ya wao kushinda wanaombea wenzao wafungwe ili wao wawe mabingwa😂🤣☝️
Bingwa anapatikana kwa kushinda sio kulilia wenzio washindweView attachment 2221034
Wametupiga mbele ya Magufuli, Bocco akikosa penati dakika ya 89Kagera Sugar kwa Simba awajawai furukuta Lupaso kwa Chenka.
Analilia ubingwa🤣☝️Huyu jamaa katisha Mtani. 🤣🤣🤣