HahahaahahSana,wana vihere here kwa shughuli iso wahusu.
Acha mambo yako ya Wivu wewe!!AHAAA KUMBE KUNA KOMBE LA KIATU??DUUH KWELI MAKOLO MBUMBUMBU!YAANI DUNIA HAIISHI VITUKO!LEO HII MAKOLO WANAGOMBEA KOMBE LA KIATU
Nashindwa kuelewa sasa.Sijajua benchi wapo wachezaji gani ila Kocha afanye sub kuweka watu wa mbele watakaokuwa wanamiliki sana mpira eneo la mbele.
Hiyo itafanya pasi ziwe zinamfikia Saido.
Ukiangalia mechi Yanga utaona Mayele anakosa mabao mengi kwasababu fowadi zake zinamikiki sana mpira eneo la kati.
Nafasi kama zile angekuwa anatengenezewa Saido angetoka na hattrick kipindi cha kwanza.
Goli alilofunga ni individual skills maana sio rahisi milira kama ile kufunga.
Tulia mayele achukue kiatuSijajua benchi wapo wachezaji gani ila Kocha afanye sub kuweka watu wa mbele watakaokuwa wanamiliki sana mpira eneo la mbele.
Hiyo itafanya pasi ziwe zinamfikia Saido.
Ukiangalia mechi Yanga utaona Mayele anakosa mabao mengi kwasababu fowadi zake zinamikiki sana mpira eneo la kati.
Nafasi kama zile angekuwa anatengenezewa Saido angetoka na hattrick kipindi cha kwanza.
Goli alilofunga ni individual skills maana sio rahisi milira kama ile kufunga.
Umeniwahi kuandika!!Sijajua benchi wapo wachezaji gani ila Kocha afanye sub kuweka watu wa mbele watakaokuwa wanamiliki sana mpira eneo la mbele.
Hiyo itafanya pasi ziwe zinamfikia Saido.
Ukiangalia mechi Yanga utaona Mayele anakosa mabao mengi kwasababu fowadi zake zinamikiki sana mpira eneo la kati.
Nafasi kama zile angekuwa anatengenezewa Saido angetoka na hattrick kipindi cha kwanza.
Goli alilofunga ni individual skills maana sio rahisi milira kama ile kufunga.
Kiherehere,nendeni kwenye uzi wenu uliododa!Makolo bhn hayana kombe wala medali imebaki kushadadia kiatu π
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]leo mpaka Sinema zetu inaonesha boli[emoji23][emoji23][emoji23]
Kiherehere,nendeni kwenye uzi wenu uliododa!
NIMEULIZA TENAA TUU KOLOO, YAANI KUNA KOMBE LA KIATU?MAAANA SIJAWAHI LISIKIA AU LIPO KWA AJILI YA KUGOMBEWA NA MAKOLO PEKE AKE.Acha mambo yako ya Wivu wewe!!
0Yanga wana kiherehere na hawana akili kweli.
Uzi huu ni wa updates za Simba. Wa Yanga upo huko, umedoda..
Badala wakajae huko kwenye uzi wao, wanakuja kupayuka humu.
Dah!...mchuano mkali..Tulia mayele achukue kiatuView attachment 2651262