Unawin hiyo usiwe na was ws hat ukiwek over 4.5Bado ni over 2,ingekuwa over 1.5 hapo mpunga ungeshasoma
Simba akifikisha goli tatu mpunga unatema,ikiishia 2,napata refund
SawaKausha zitarudi😎
hattrick tayari saido 3:0Saidoo ana HAT TRICK
La pili sioSaiiiidooooooooo Goooooooooooal
TayariUnawin hiyo usiwe na was ws hat ukiwek over 4.5
Taysr huko
3:0La pili sio
Kwani kabla ya mechi ya leo alikuwa na goli ngapi!?Hofu yangu ni kwa Saido anaweza kukosa uvumilivu kusubiri mechi ya pili atafute bao 6
Anaweza akafunga mahesabu na leo tukamtangaza kama too skoa
Tukishinda hii game, lazima na sisi tufanye Paredi.Japo polisi wanacheza kiwango sawa na timu za Shirikisho wenzie na Utopolo