NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Hivi mkiwapiga hao mnapata pointi ngapi??
Maana Yanga wamedroo
Maana Yanga wamedroo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
17Mayele ana mangapi!?
hapa saido anaweza ondoka na mojawapo leo 4=haul, 5 = glut, 6 = double hat-trick, 7 = haul-trick.Hattrick ya pili ni kipindi cha pili, Saido tena
Yes nipo hapa kuifatilia team yangu. [emoji120][emoji120][emoji120]Salama hapa, asante kwa salamu
Endelea kufuatilia timu yako
Hongera kwa kuchukua Ubingwa wa CAF.Ni kweli ndio maana mko fainali club bingwa
TFF wakiona hivyo, mechi ya mwisho watahakikisha Yanga anacheza baada ya Simba ili Mayele ajipangeHattrick ya pili ni kipindi cha pili, Saido tena
Ha ha ha ha ha tuna Lunyasi mwenzetu hapa...Sawa mkuu, nitafuata ushauri wako
Labda Muungano na polisi wote mpee pasiHattrick ya pili ni kipindi cha pili, Saido tena
4= haul, 5 = glut, 6 = double hat-trick, 7 = haul-trick.Sijajua vigezo vya TFF
CAF wanapewa wote
Inayoonekana Mayele kapewa vacation wakiamini hakuna atayeweza kufikisha idadi ya magoli yake kulingana na idadi ya mechi zilizobakiTFF wakiona hivyo, mechi ya mwisho watahakikisha Yanga anacheza baada ya Simba ili Mayele ajipange
Huku si wanaangalia mabao ya penalty? Ikiwa sawa wanaangalia mwenye assist nyingi, ikiwa sawa pia ndo wanapewa woteee.Sijajua vigezo vya TFF
CAF wanapewa wote
Naona wazee wa kuloga a.k.a kolos waliweka full kikosi kama vile wanagombea ubingwa wa ligi kuu.Au ndio wakifungwa nafasi ya pili wanakosa?