FT: Niger 0-1 Tanzania. Kufuzu Kombe la Dunia. Novemba 18, 2023

FT: Niger 0-1 Tanzania. Kufuzu Kombe la Dunia. Novemba 18, 2023

Tukiongeza mazoezi ya pumzi na kukaba tukashikilia bomba hatufungwi na Morocco, ila tukifunguka tutapigwa nyingi. Lazima tuwaheshimu, faulo nje ya box hazitakiwi kabisa. Hawa mpira wao kama waarabu wengine hawana jipya na hawajui tunachezaje itatubeba!

Feisal bado sio yule, hivi sasa ni mzito sana muda wote anawaza kurudisha mipira nyuma sijui mbele anaogopa nini , mechi ya Morocco inamhitaji Mudathir tu katikati.

Samatta aache utozi, goli alilokosa akiwa yeye na kipa ni la kijinga kabisa, ila bado ni tegemeo letu mpira anaujua na amebadilika hivi sasa anakaba sana na kusaidia sana timu kule mbele. Kipa wa Niger alisumbuliwa sana na Samatta big up!

Ushindi dhidi ya Morocco pia upo tukitulia mwarabu anakaa tu kwa Mkapa hatoki Mtu, namuona Msuva akipiga goli mbili safi. Point 3 za Morocco tuzipambanie zitatubeba sana. Hii timu iko vizuri sana kushikilia bomba lazima tuseme ukweli
Watu mnasahau kwamba Morocco tuliwashona 3 Kwa Mkapa wenyewe wanatuogopa

Sent from my TECNO BF7 using JamiiForums mobile app
 
Kumbuka uki qualify unaenda kukutana na Germany France England Brazil nk. Bora tu tutoke huku huku kwetu. Tutaaibisha taifa
Kukimbia changamoto ndio udhaifu wenyewe.

Huwezi mshinda adui kama unamwogopa sana.

UNAPASWA ukuatane nae umzoee na ujue udhaifu.

Acha tabia ya ku quit kabla hata hujaanza.
 
Mbona fei ndiyo kaongoza kupiga pass za macho
Imefika saa najiuliza au ni Mimi nilikuwa siangalii sawasawa ila wote wanaotajwa wamefanya kazi kubwa sana
1.Samatta kacheza vizuri sana jana
2.Mnoga alifanya kazi ya beki iwe rahisi
3.Fei ka improve sana uchezaji wake.
 
Team yake mama ni potmouth iko league one England. Daraja la tatu.
Kapelekwa kwa mkopo. National league (daraja la nne) team ya Aldershot.
Aldershot Town Fc ipo National league 5th tier ( kwa maana English premier league ni national league 1st Tier ) .
Gap ni kubwa .
uhakika kuna wachezaji wana talent na uwezo kuliko yeye wapo Tanzania .
 
Jana nmeona timu ya taifa mpya kabisa, ile iliyocheza na Algeria imeenda wapi?

maana wamecheza hovyooo mnooo hawakutahli kupewa ndege kabisa

Ile kama ndyo tim ya taifa kunahaja ya kufanya review

au watatuletea tim nyingne itakayo cheza na Morocco?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli Kabisa hakuna mtu mwenye nguvu kama mzize wa kuwaweka mabeki au viungo wakabaji bize matokeo yake hao mabeki na viungo wakabaji walikuwa wanaanzisha mashambulizi na katikati hakuwepo mtu msumbufu wa kukaba au kuanzisha mashambulizi.
Kocha kuna maeneo bado hajajua amweke Nani anabadilikabadilka .
 
Charles Mmombwa

Kwa kifupi Tunacheza hovyo sana.
Na mbaya zaidi wachezaji hawaonyeshi uzalendo kabisa.

Au wameshajua hatuwezi kabisa kabisa ku qualify?
Tff Ina mipango mibovu , wachezaji wanakuwa makini kukwepa kuumia maana vilabu ndiyo vinawalipa vizuri , wakiumia tff haitakuwa tayari kuwahudumia na kuwalipa vizuri .
 
Tukiongeza mazoezi ya pumzi na kukaba tukashikilia bomba hatufungwi na Morocco, ila tukifunguka tutapigwa nyingi. Lazima tuwaheshimu, faulo nje ya box hazitakiwi kabisa. Hawa mpira wao kama waarabu wengine hawana jipya na hawajui tunachezaje itatubeba!

Feisal bado sio yule, hivi sasa ni mzito sana muda wote anawaza kurudisha mipira nyuma sijui mbele anaogopa nini , mechi ya Morocco inamhitaji Mudathir tu katikati.

Samatta aache utozi, goli alilokosa akiwa yeye na kipa ni la kijinga kabisa, ila bado ni tegemeo letu mpira anaujua na amebadilika hivi sasa anakaba sana na kusaidia sana timu kule mbele. Kipa wa Niger alisumbuliwa sana na Samatta big up!

Ushindi dhidi ya Morocco pia upo tukitulia mwarabu anakaa tu kwa Mkapa hatoki Mtu, namuona Msuva akipiga goli mbili safi. Point 3 za Morocco tuzipambanie zitatubeba sana. Hii timu iko vizuri sana kushikilia bomba lazima tuseme ukweli
🤣🤣🤣🤣Umenichekesha sana.
Natunza comment yako
 
Ukuta wa Berlin wa Yanga umeonesha kiwango Cha juu Manula Yuko likizo Leo zile 5G kumbe ni beki mbovu

Timu ilikosa muunganiko wa katikati na mbele, viungo Wote watatu Fei, Mnoga na Bajana walikaba zaidi na kusahau kupandisha timu.

Timu iliishiwa pumzi dakika 20 za mwisho ikawa roho mkononi hivyo wafanye mazoezi sana ya mbio na fitness gym , Morocco sio Niger wasijetuaibisha 5G kwa Mkapa!

Ila timu yetu imekaba vizuri, ila nawapongeza sana Mbwana Samata na Simon Msuva kwa kujituma sana kukaba mwanzo mwisho kuliko wachezaji wengine , big up sana mmeonesha mfano wa kuigwa.

Manula na Mwamnyeto Kuna mpira walitegeana jamaa wa Niger akawa anaenda kufunga ila Nondo akawahi kuokoa Boko lake Hili wasirudie, waongee!!

Novatus ni majeruhi wamtibu haraka Leo alihangaika na msuli wa paja mara kwa mara kacheza kwa uzoefu tu Kuna saa alichuchumaa ikawa anacheki kama anaweza kuendelea.

Samatta alikuwa wa moto sana ila viungo hawakumlisha mipira vizuri Mudathir acheze next match japo kipindi kimoja.

Morocco tuwachezee kama jinsi tulicheza na Algeria timu nzima ikabe kwa nguvu kwa dakika 90 hatufungwi.

Otherwise hongera sana Taifa Stars jezi ya njano na blue inatubeba sana!
Kaka tar21 tupo na moroco sasa subiri uone huo ukuta
 
Back
Top Bottom