Smt016
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 3,012
- 4,300
Kuongea kingereza ni big deal sana kwa watanzania.Yule waliyembatiza u Prof hata sentence moja ya ngeli hamalixi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuongea kingereza ni big deal sana kwa watanzania.Yule waliyembatiza u Prof hata sentence moja ya ngeli hamalixi
wale mbwa waliokua wanasema Mgunda hana vyeti,sasa Mgunda kawaonyesha kwa vitendo,mmammae zao.Mitano tena kwa Juma Mgunda
Duniani.. Pep, Klopp, Tuchel, Conte, Zahera, Pluijn, Kishingo na wengine hawakua na namna ikabidi waende shule ya ngeli ..Kuongea kingereza ni big deal sana kwa watanzania.
Uwezo wa kufikiria ni mdogo sana. Mgunda kwa siku mbili hawezi kuibadilisha timu, leo hata angekaa Rwelemamu timu ingepata matokeo haya haya zaidi ambacho kilisisitizwa ni morali na saikolojia ya wachezaji ili kutofanya makosawale mbwa waliokua wanasema Mgunda hana vyeti,sasa Mgunda kawaonyesha kwa vitendo,mmammae zao.
Kweli. Sub zisizo na macho zinatugharimuAyaaa imekuaje tena?
Huyu matola na sub zake ataigharimu timuk
SUDANI KUSINI hiihii ninayoijua mimi, au unaropoka tu? Hicho ni kichwa inatumia au ZURURU?Moja kati ya tofauti yetu na Uto ni kuifunga ugenini mabingwa wa nchi iliyoshiriki Afcon 2022
Sio kweli mimi ningekuwa kocha nisingempanga bocco,nyoni wala israel,hixo ingeathiri matokeoUwezo wa kufikiria ni mdogo sana. Mgunda kwa siku mbili hawezi kuibadilisha timu, leo hata angekaa Rwelemamu timu ingepata matokeo haya haya zaidi ambacho kilisisitizwa ni morali na saikolojia ya wachezaji ili kutofanya makosa
Kweli kabisaKama Mgunda kocha mkuu anamwacha msaidizi wake afanye sub. nani wa kulaumu. Timu amepewa Mgunda sio Matola
Mlikua mnasema Mgunda hatokaa benchi kwakua hana vyeti,kawaumbua kwa vitendo.kakaa kwenye benchi na ushindi juu.Uwezo wa kufikiria ni mdogo sana. Mgunda kwa siku mbili hawezi kuibadilisha timu, leo hata angekaa Rwelemamu timu ingepata matokeo haya haya zaidi ambacho kilisisitizwa ni morali na saikolojia ya wachezaji ili kutofanya makosa
Sijui ni nini Lakini mpaka Leo naendelea kuamini Mugalu alikuwa forward mzuri aliyekosa maelekezo sahihi. Ukiniweke Mugalu na Dejan nitampick Mugalu.Sawa hatukatai goli la pili lina mchango wake ila bado sana kumuweka Bocco kwenye mechi kama hizi.
Nimetolea mfano wa Mugalu hapo nadhani uki relate utaweza kunielewa
Nyoni na nyoni ni mabest wake MatolaSio kweli mimi ningekuwa kocha nisingempanga bocco,nyoni wala israel,hixo ingeathiri matokeo
Hivi Mgunda hata Kifaransa kinapanda?Yule waliyembambika u Prof hata sentence moja ya ngeli hamalixi
Nakazia.Sijui ni nini Lakini mpaka Leo naendelea kuamini Mugalu alikuwa forward mzuri aliyekosa maelekezo sahihi. Ukiniweke Mugalu na Dejan nitampick Mugalu.
Mimi na Ukocha wangu wa Ndondo nilitegemea asajiliwe Forward Mkali na Mugalu atumike kama back up yake.Nakazia.
Onesha wapi nimesema hana vyeti? Kwahiyo nawewe ni miongoni mwa mliosema Nabi hatokaa kwenye bench kwasababu hana vigezo?Mlikua mnasema Mgunda hatokaa benchi kwakua hana vyeti,kawaumbua kwa vitendo.kakaa kwenye benchi na ushindi juu.
Ubovu wa Mugalu ukiutazama sidhani kama utaweza kuuhusish moja kwa moja na kochaSijui ni nini Lakini mpaka Leo naendelea kuamini Mugalu alikuwa forward mzuri aliyekosa maelekezo sahihi. Ukiniweke Mugalu na Dejan nitampick Mugalu.