FT: Nyasa Big Bullets 0-2 Simba | CAF Champions League (CAFCL) | Bingu Stadium

Nadhani sasa amuachie Guardiola Mnene kupanga Kikosi, lakini je atakubali?
Guardiola yupo pale kama kivuli tu kutokana na sheria za CAF hazimruhusu matola kuwa benchi kama kocha mkuu kutokana na vyeti. Mgunda ni pambo tu la CAF ila Matola ndio anayefanya majukumu yote ya kiufundi kwavile ndiye aliyekaa na wachezaji kwa muda mrefu sana
 
Sijui ni nini Lakini mpaka Leo naendelea kuamini Mugalu alikuwa forward mzuri aliyekosa maelekezo sahihi. Ukiniweke Mugalu na Dejan nitampick Mugalu.
Dejan tumepigwa na kitu kizito kichwani hilo halina ubishi na ndo mana timu zetu zinasajili theni kocha ndo anaajiliwa
 
Uwezo wa kufikiria ni mdogo sana. Mgunda kwa siku mbili hawezi kuibadilisha timu, leo hata angekaa Rwelemamu timu ingepata matokeo haya haya zaidi ambacho kilisisitizwa ni morali na saikolojia ya wachezaji ili kutofanya makosa
Pamoja na yote uloongea lakin nikweli kuwa kuna kitu kimeongezeka kwa leo
 
Mgosi mwenzangu Juma Mgunda, wakati mwingine ukihojiwa na mwandishi wa habari jieleze tu kwa kiswahili. Hicho kizungu waachie wenyewe.

Ni ushauri tu lakini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huachi kuteseka shougaaa angu, poleeeeeeh
 
Halafu watufanyie kama Galaxy,manina zao
Mkuu I hope yule kijana jirani yako shabiki kindaki ndaki wa Simba uliyemnunulia jezi mwaka jana umemkumbuka tena safari hii.Ukweli Simba ikifanya vibaya tunateseka sana sisi mashabiki emotionally kuliko hata wachezaji.Hawajui tu jinsi tunavyoteseka,imagine makinda yangu wote Simba,tukifungwa nakuwa na kazi ya kuwasaidia kuwatuliza kuelewa kuwa kupoteza ni sehemu ya mchezo pia.
 
Karibu Jopo Zima la Lunyasi Mwifwa, OKW BOBAN SUNZU, Scars, Kinyungu, denooJ, Kalpana, Shunie, Mshana Jr, BRN, Mawawa, mpiga vichwa, koboG, Waminyato, Pettymagambo, SAGAI GALGANO, Troisième Ceil, 3ZOV, Proved, mkwepu jr, Satoh Hirosh, Elli, MTAZAMO, Designer_3434, TUJITEGEMEE, Mac Alpho, Kiweriweri, Donnie Charlie, CHIEF PRIEST, rodrick alexander, Chaliifrancisco, Mtoto halali na hela. Na wengine wana Lunyasi [emoji881][emoji881][emoji881] Nguvu Moja

Hakuna mshamba hata mmoja hapo[emoji817][emoji322][emoji818]
 
Mkuu kwa kitendi cha kutonitag hapo list yako imekuwa batili, rudia tena

Sent from my HUAWEI RIO-L01 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Mshughulishaji kwanza big respect kwani hiyo list katoa mwamba wetu anayetuhabarishaga ishu za kabumbu Ghazwat sio yangu ila pia kasema na wengine
Nanukuu: Na wengine wana Lunyasi [emoji881][emoji881][emoji881] Nguvu Moja
Kwa mbaali kama nitakusamehe hi, si kama wale waliopiga bomb mochuari halafu wanashangilia wameua kwa risasi, wakati kuonesha kuwa aliyeuawa alikua ameshakufa ni kitendo chake cha kuingia hospitali saa saba usiku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…