FT: Nyasa Big Bullets 0-2 Simba | CAF Champions League (CAFCL) | Bingu Stadium

Kwa mbaali kama nitakusamehe hi, si kama wale waliopiga bomb mochuari halafu wanashangilia wameua kwa risasi, wakati kuonesha kuwa aliyeuawa alikua ameshakufa ni kitendo chake cha kuingia hospitali saa saba usiku
Tufanye hili limeisha tufurahie ushindi mnono... Namuona jirani kabinua midomo kama ana safura [emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huachi kuteseka shougaaa angu, poleeeeeeh
Wewe nawe sasa una shida! Sitakiwi kutoa maoni sasa humu jukwaani! Nikitoa tu, basi nateseka!!!

Halafu useme rafiki yangu basi!! Hilo neno unalotumia mara kwa mara linaleta ukakasi!! Na usisahau mimi ni mpingaji mkuu wa hayo mambo.
 
Mkuu Mshughulishaji kwanza big respect kwani hiyo list katoa mwamba wetu anayetuhabarishaga ishu za kabumbu Ghazwat sio yangu ila pia kasema na wengine
Nanukuu: Na wengine wana Lunyasi [emoji881][emoji881][emoji881] Nguvu Moja
Asante Mwamba Mshana Jr Ni kama umeniwakilisha bungeni yaani.

Ubarikiwe sana...[emoji120] Nguvu Moja [emoji881]
 
Nguvu moja[emoji91].
 
Umepaniki mno, lakini huo ndio uhalisia. Wakati Gomes hakuwa na vigezo simba walimchukua Hitmana kama gelesha tu ila maamuzi anafanya anayeijua timu ni hivyo hivyo kwa Matola na Mgunda.
Huwezi kuita "uhalisia" kitu ambacho hukijui na wala huwezi kuthibitisha, hii scenario tunaiita umbea.

Sijapanick mkuu
 
Mkuu home inakuwa kama msiba,hakuna wa kumuuliza mwenzie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…