pesakilakitu
JF-Expert Member
- Aug 17, 2024
- 1,618
- 2,861
[emoji23][emoji23][emoji23]Siku hiz hata upoteze muda dakika zinazoongezwa ni za kushangza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Siku hiz hata upoteze muda dakika zinazoongezwa ni za kushangza
Uongo mtupuSasa unazani uwongo mkuu
Hamna mchezaji, hatakiwi kusubiri dirisha kubwa huyu, December to apewe thank youHata hiyo cross ya mwisho sijui ndo kapigaje vile?
Tatizo filimbi ilikuwa tayar imepigwa!Goli halali la pamba limekataliwa.
Sikujua mkuu! Kumbe majukum yanatufany tushindwe kucheza mpira? Mi nilizani hata haya ni majukum pia! Any way let's keep it upUlitegemea mpira gani pumbavu!
Hujui tuna majukumu makubwa ya kuwakilisha taifa
Fukuzeni na mkuu wa mkoa wa mwanza bila yye hizi tabu msingezipataHuyu Mchezaji wa Pamba FC kauza mechi amefanya vile maksudi ili awape penati Makolo FC huyu ni wa kufukuza kwenye timu.Ile sio bahati mbaya ni maksudi kabisa
Suburi ban inakujaDaaaaah..... Kuna watu si wa kuwaamini kabisa.
Ndiyo. Aliomba mwenyewe apigwe ban siku 3. Naomba aongezewe dozi iwe 3×3=9Active-Active piga ban huyu Komeo la chuma
Kwa pitch hiyo ulitegemea nini labdaMpira wa hovyooooo kuliko tulivyotegemea