Kwa kosa gani?Tatizo filimbi ilikuwa tayar imepigwa!
Hili swali akujibu Sasa au akae kimya abaki na heshima?Kwa kosa gani?
Mmshukuru mkuu wa mkoa alijikatia tamaa otherwise kipigo heavy kingewakutaLia lia fc mwendo wa kimoko .kweli ππ ni jitu kubwa liki shinda kimoko kelele mingii ila kwa hawa ads Fc kelele amna
Yule mchezaji wa Pamba alimkwatua kwa nyuma kipa wa Simba.Hili swali akujibu Sasa au akae kimya abaki na heshima?
Na Mwanza hawajifunzi tuuu...sijui akili zitawarudia lini?Hii pamba ya kipumbavu sana timu inajipambanua tawi la utopolo! Huu ni ujinga ulio pita mipaka.
Kwani mkikomaa kama ninyi bila kuhusisha timu nyingine kubwa hamuwezi kufanikiwa?
Kuna mbeya city ilipata mashabiki wengi sana lakini haikujinasibisha na timu yoyote ya kariakoo!
wamemsajili kwa ajili ya penalti tu we endelea kuteseka wenzako ndo haoooo kilelenUyu ateba bila penati hawezi kufunga goli lolote
Mwulize refa sisi tunachojua hamna goliKwa kosa gani?