FT | Power Dynamos 2-2 Simba SC | Levy Mwanawasa Stadium | September 16, 2023

Alamsiki tukutane wakati mwingine.....
Simba nguvu moyaaa....
 
Ukweli 'board' ya ligi ndo wamesababisha yote haya.
Simba walikaa zaidi ya wiki bila mechi ya ushindani na waliomba kucheza mechi ya ligi lakini wakakataliwa
 
Chama huwa anaamua mechi haswa kwenye mechi zenye kuamua hatma ya timu refer Simba vs Nkana fc pia Simba vs As vita na leo so ni mchezaji mhimu sana kikosini

Chama huwa anaamua mechi haswa kwenye mechi zenye kuamua hatma ya timu refer Simba vs Nkana fc pia Simba vs As vita na leo so ni mchezaji mhimu sana kikosin
Halafu kuna vijitu vya upande wa pili vinakwambia Chama konokono, sijui Chama nini nini. Unavichekiiiii unasema hivi walishafanya rejea ya game zote za Champions League alizocheza Chama tangu atue Msimbazi?
 
Nimeanza kumwelewa kocha kwanini huwa anamuweka Phiri nje, Huyu jamaa kiwango chake kimeshuka sana na sioni dalili ya improvement kwake.

Alafu shida nyingine kubwa kwa timu yetu ni beki za pembeni, Tshabalala na Kapombe, Hawa jamaa washachoka sana hususan Tshabalala, watafutiwe mbadala.

Ushauri: Kocha amwamini Israel Mwenda kwa huku Duchu akiendelea kuimarishwa zaidi. Mwenda ni mzuri mno , ana nguvu, pumzi na anajua kupress..Kocha amwamini ampange.
 
Poor analysis..

Ningekuelewa kama ungesema icho kigenge Cha wanywa kahawa kifanyiwe total oval haul.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…