FT | Power Dynamos 2-2 Simba SC | Levy Mwanawasa Stadium | September 16, 2023

sasa hapo bibi kizee unakosea, mamangu anaingiaje hapo sasa na kwani mimi nimesema umechoka kwenye huo? au umechoka tu kwa kuzeeka? au nimetonesha kwenye mshono unajisema sasa kwamba ...umechoka. mamangu mimi hayo hayanihusu watajuana na baba huko.
Kumbuka tu, na sisi ni mama za watu.

Ukitaka mama'ko aheshimiwe na wewe uheshimu mama za wengine.
 
wewe uliwaza kwenye uchi, mimi kiukweli sikumaanisha kwamba uchi umechoka, sasa wewe kwasababu labda umechoka kweli, ukajisema. lakini tuyaache hayo, uchoke usichoke bado una thamani kwa wa kwako. mimi na wewe ni watani wa jadi hata hivo.
Haswaa ndiyo maana nikakuuliza uchi wa mama'ko haujachoka? Umeujaribu?

Wewe jifanye unajuwa kucheza na maneno tu. Wengine hatupigiwi tunacheza.
 
Wote wale wale
Pawa dainamo na mereikh Nani butu, au unajisahaulisha
Na El Merrick sio kama ni bora zaidi kuliko Power Dynamo.

Power Dynamo sio kama ni wabovu sana, hapana.

Mimi sijaangalia mpira wenu

Ila inawezekana El Merrick hii mliyocheza nayo leo mngecheza nayo ikiwa kwao, mechi isingekuwa rahisi.

Na ndio maana hata hawa Power Dynamo sio kama nawa underrate ila kuna kiasi cha favor wamekipata walipokuwa nyumbani.

El Merrick ni bora katika rekodi za ushiriki wa michuano ya CAF kwa factor ya kukusanya point zinazomfanya ajiweke kwenye rank za juu katika takwimu.

Ila ubora ule uliotumika kushika nafasi za juu kwenye rank za CAF lazima tuongee ukweli kuwa saizi haupo.

Ni sawa na Tp Mazembe, katika rank za CAF ipo juu.

Lakini ukiangalia currently quality haipo. Walioifanya Mazembe iwe level za juu sio ambao wapo, waliopo ni wabovu.

Kwa hiyo tujaji ubora kwa kuangalia Quality players na performance inayotolewa kuliko kuangalia takwimu.

Kama ni kuangalia rank upo sahihi El Merrick wapo juu
 
Haswaa ndiyo maana nikakuuliza uchi wa mama'ko haujachoka? Umeujaribu?

Wewe jifanye unajuwa kucheza na maneno tu. Wengine hatupigiwi tunacheza.
bibi kizee una mdomo mchafu? OK, uliangalia mpira lakini au ndo ulikua unajiandaa na safari za usiku.
 
hata tungechezea nyumbani kwao tungewafunga tu. mbona sisi na wao wote tulikuwa wageni kule rwanda? imekuwaje wao wameshindwa hata kupiga mashuti hatarishi hata ya mbali tu kuelekea kwenye goli letu?
 
hata tungechezea nyumbani kwao tungewafunga tu. mbona sisi na wao wote tulikuwa wageni kule rwanda? imekuwaje wao wameshindwa hata kupiga mashuti hatarishi hata ya mbali tu kuelekea kwenye goli letu?
Ndio maana nikasema pamoja na kwamba mmeshinda ila game hii ingekuwa kwao kuna ugumu ungeongezeka.

Japo inaweza kutokea unalolisema likafanyika ila home ground inakawaida ya kutoa favor labda kwasababu wachezaji wao wameenyeka sana
 
Wanathimbaaaaaaaaa πŸ˜…πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wanajitetea hawa makolo hawana akili
hata tungechezea nyumbani kwao tungewafunga tu. mbona sisi na wao wote tulikuwa wageni kule rwanda? imekuwaje wao wameshindwa hata kupiga mashuti hatarishi hata ya mbali tu kuelekea kwenye goli letu?
 
mma'ko anatowa ugali au urojo? Hebu muulize hapo.
sasa mamangu wa nini? au hata nikija kuongea na wewe kiutu uzima lazima nimhusishe na maza? dawa yako wewe ndogo sana, ni kiukutafuta tumalizane kiutu uzima, pengine unawashwa kizeezee, badala ya kumwambia babu akusaidie unatafuta vijana.
 
Goli tano kwa uto mwisho round ile kwa sasa hizi kazi za Simba sasa kufunga goli nyingi nyingi ndo zinakaribia kuanza...
Tukija mnatufukuza, tukiondoka mnatusema. Hivi makolo ni wazima kweli nyie?

Shida sio kufunga magoli mengi, shida ni je unashida?

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Huyo amepaniki kolo huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…