FT | Power Dynamos 2-2 Simba SC | Levy Mwanawasa Stadium | September 16, 2023

FT | Power Dynamos 2-2 Simba SC | Levy Mwanawasa Stadium | September 16, 2023

waache makolo waendelee kuwa na kipa muuza bucha.
Screenshot_20230916-200556.jpg

Tapeli huyu
 
sasa mamangu wa nini? au hata nikija kuongea na wewe kiutu uzima lazima nimhusishe na maza? dawa yako wewe ndogo sana, ni kiukutafuta tumalizane kiutu uzima, pengine unawashwa kizeezee, badala ya kumwambia babu akusaidie unatafuta vijana.
Mama'ko anawashwa nini makalio? Mkune kidogo, labda baba'ko hawezi tena kukuna.
 
Ipo Namba 27 kwenye official CAF ranking
Mpinzani wako hata 70 Bora hayupo
Ukibisha nakuwekea screenshot
Always mnapewa Vimeo tu
Nyasa big bullets
Primera de agosto
Hawana utofauti na zalan,UD songo
Kwani kinachotafutwa ni ushindi au laking mbona mnakuwa kama Watson na nyie!!
Kila timu inapambana haijalishi ipo nafasi ya ngapi katika vilabu au haijacheza ligi mda mrefu
 
Na El Merrick sio kama ni bora zaidi kuliko Power Dynamo.

Power Dynamo sio kama ni wabovu sana, hapana.

Mimi sijaangalia mpira wenu

Ila inawezekana El Merrick hii mliyocheza nayo leo mngecheza nayo ikiwa kwao, mechi isingekuwa rahisi.

Na ndio maana hata hawa Power Dynamo sio kama nawa underrate ila kuna kiasi cha favor wamekipata walipokuwa nyumbani.

El Merrick ni bora katika rekodi za ushiriki wa michuano ya CAF kwa factor ya kukusanya point zinazomfanya ajiweke kwenye rank za juu katika takwimu.

Ila ubora ule uliotumika kushika nafasi za juu kwenye rank za CAF lazima tuongee ukweli kuwa saizi haupo.

Ni sawa na Tp Mazembe, katika rank za CAF ipo juu.

Lakini ukiangalia currently quality haipo. Walioifanya Mazembe iwe level za juu sio ambao wapo, waliopo ni wabovu.

Kwa hiyo tujaji ubora kwa kuangalia Quality players na performance inayotolewa kuliko kuangalia takwimu.

Kama ni kuangalia rank upo sahihi El Merrick wapo juu
Aahaaaaa,kwahiyo tumecheza na kibonde?
 
Back
Top Bottom