FT: Pre-season International Friendly Match | Simba SC 6-0 Al Akhood Club

Wiki moja, game moja, utopolo wasije na ule utopolo wao wa Simba SC imefungwa 12-0!
Walivyo wajinga siku ya game kuna picha ya nyota wa goli bora la CAF Sakho ilhali yeye alikuwa Rabat nchini Morocco.

Yaani hata editing yao inakwenda kiutopolo topolo tu yaani.
 
Hii nimekumbuka ishu moja wakati niko O-level kuna jamaa walikuwa wanaishi gheto kwa ajili ya kupiga msuli, baadae wakawekeana utaratibu wakutungiana mitihani.

Wakawa wanapiga A+ kila mitihani Aaah dharau zikahamia darasani kuwa wao wakali hahahah si ikaja mitihan ya muhula kila mtihani unaotoka D na mingine wanazingua kabisa mpaka F.

Ndo nilipojua kuwa kipimo cha ubora ni kwenye uwanja wa mashindano na sio uwanja wa mazoezi.
 
Mmechukua Mashabiki 11 Waliokuja Kuangalia Mazoezi Yenu Mmechz Nao Mechi Af Mnasema Mmechez Na Timu Ya Saudi Arabia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…