Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Klabu ya Simba imejitupa uwanjani hii leo kwenye mchezo wa Kimataifa wa kirafiki (International Friendly match) dhidi ya Al Akhaood Club, ambapo matokeo ni kuwa Simba SC imeibuka na ushindi mnono wa mabao sita kwa bila.
Huu ni mchezo wa pili kwa Simba baada ya kutanguliwa na ule wa Ismailia SC ambao matokeo yalikuwa ni kutoshana nguvu kwa sare ya bao moja kwa moja, ambapo bao la Simba likifungwa na Nyota Augustine Okrah.
Kwenye mchezo wa leo Julai 23, 2022 matokeo ni haya | FT: Simba SC 6-0 Al Akhaood Club.
Wafungaji Simba SC.
Moses Phiri
Jonas Mkude
Maddie kagere
Pape Sakho
Pape Sakho
Erasto Nyoni
Huu ni mchezo wa pili kwa Simba baada ya kutanguliwa na ule wa Ismailia SC ambao matokeo yalikuwa ni kutoshana nguvu kwa sare ya bao moja kwa moja, ambapo bao la Simba likifungwa na Nyota Augustine Okrah.
Kwenye mchezo wa leo Julai 23, 2022 matokeo ni haya | FT: Simba SC 6-0 Al Akhaood Club.
Wafungaji Simba SC.
Moses Phiri
Jonas Mkude
Maddie kagere
Pape Sakho
Pape Sakho
Erasto Nyoni