FT: Prison 1 - 0 Azam, Ligi Kuu ya NBC

FT: Prison 1 - 0 Azam, Ligi Kuu ya NBC

Ujue kuna mkono wa gsm hapo maana timu anazozihofia anazifanyia umafia mkubwa sana.
Ile mechi angekuwa anacheza yanga lazima angepewa penalty 2.
Wewe ni miongoni mwa mashabiki wapumbavu timu gani ambayo haifungwi? ina maana hap GSM hela zao ni za kumwaga mwaga tu Yanga imechukua ubingwa tangu miaka ya 60's huko GSM alikuepo?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom