Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Africa sisi bado sana aiseee..... nikwasababu tu sina usingizi,ila upuuzi mtupuFinal mbovu kishenzi yaani wamenimalizia luku yangu tuu. Waarabu leo ndio wameteoetaaa kama urojo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Africa sisi bado sana aiseee..... nikwasababu tu sina usingizi,ila upuuzi mtupuFinal mbovu kishenzi yaani wamenimalizia luku yangu tuu. Waarabu leo ndio wameteoetaaa kama urojo
Hata mm
Kwa mpira gani wanaocheza?Berkane wanakwama wapi, wamalize game haraka tulale.
HahahaahaaahahaahahajajajhahHivi ni nani Kawapa Ruhusa Utopolo Kuchangia Mada Kuhusu Fainali Za CAF..!
UTOVU WA NIDHAMU KWA KWELI.!
Mwisho wao hao ni Mechi za Awali Kuchangia Maoni..!
Tulishakubaliana...Siku Wakiingia Makundi Wakavuka ndio Waanze kukomenti Mechi Za Robo, Nusu na Fainali Za CAF...!
Safi babaa, nawaona haters wakitesekaPenalty to Berkane
Ila hakuna timu ya kuisifia imecheza vizuri,wote wanaruka ruka tuTayari 1
Orlando akafie mbali
KabisaaaaIla hakuna timu ya kuisifia imecheza vizuri,wote wanaruka ruka tu