Kibabage nae yuko poa sana.Huyu Max mmepata ngoja tuangalie wengine.
We ni nani hadi unitishie makofi?Nuache Bantu Lady we vipi utapata makofi
Kama tia maji tia maji watuambieMnaongalia huko vp kuna kitu au ndo basi tena??
Akija Matola jifiche ooho na yule mwingine uko wapiGoooooool Yanga 1. Musonda
Vipi Skudu huko kuna lolote kafanya?43' Yanga 0-0 Kaizer
No Mayele no ProblemGoooooool Yanga 1. Musonda