Na bado kuna akina Aucho, Azizi Kii, Pacome, Diarra, nk. Wako nje! This is Yanga bhana. πππͺNaona kimeingia kikosi kingine
HII NDIO TAFSIRI YA KIKOSI KIPANA!!Leo tunatangaza hali ya hatari Africa nzima, tunaweza kucheza na timu mbili viwanja tofauti kwa siku moja na muda mmoja.
Wale wapiga kelele salaam ziwafikie hizo.
Leo watacheza karibu wote, kocha alishasemaHIVI HIKI KIKOSI TUTAKIPANGAJE ILI TUPATE KIKOSI CHA KWANZA!!!?
Wanakamia mpaka mechi za pre season.Na bado kuna akina Aucho, Azizi Kii, Pacome, Diarra, nk. Wako nje! This is Yanga bhana. πππͺ
Wangekuwa ndiyo wale wenzetu wengine, muda wangekuwa wanatukana tu matusi kwa nini kocha wao kamtoa Chama.
Kumbuka, at a time wachezaji wanaoruhusiwa uwanjani ni 11 tu. Sasa hapo ndipo utakapoona umuhimu wa mmoja dhidi ya mwingine, na utaungana na wanaopiga kelele fulani atoke, fulani aingieNa bado kuna akina Aucho, Azizi Kii, Pacome, Diarra, nk. Wako nje! This is Yanga bhana. πππͺ
Wangekuwa ndiyo wale wenzetu wengine, muda wangekuwa wanatukana tu matusi kwa nini kocha wao kamtoa Chama.
Ningekuwa mimi ndiyo kocha, ningewaambia wachezaji wajipangie wenyewe kikosi.HIVI HIKI KIKOSI TUTAKIPANGAJE ILI TUPATE KIKOSI CHA KWANZA!!!?
Juzi walitokaje kwanza na waturuki?Wanakamia mpaka mechi za pre season.
Wanadai wameedit.Juzi walitokaje kwanza na waturuki?
Anafaa kwa matumizi, shemeji tumempitishaaaaaaNyie [emoji169][emoji172][emoji7] atakuwa shemeji yenu huyu...View attachment 2696354
Asante mrembo Dream Queen shemeji yenu, anafaa sana kwa matumizi πAnafaa kwa matumizi, shemeji tumempitishaaaaaa
Bantu acha jamaa afaidi!!Nyie [emoji169][emoji172][emoji7] atakuwa shemeji yenu huyu...View attachment 2696354
Ila washabiki wa kuwagawa hamna, si umeona kulivyopwayaLeo tunatangaza hali ya hatari Africa nzima, tunaweza kucheza na timu mbili viwanja tofauti kwa siku moja na muda mmoja.
Wale wapiga kelele salaam ziwafikie hizo.
Leo tunatangaza hali ya hatari Africa nzima, tunaweza kucheza na timu mbili viwanja tofauti kwa siku moja na muda mmoja.
Wale wapiga kelele salaam ziwafikie hizo.
Hajasuka bana Sandiego π π π π kasokota. Nimemuelewa sana ππππππBantu acha jamaa afaidi!!
Ningefukuzia ila kusuka siwezi!!
Mkuu sio mikwara huo ndio ukweli!!Hahaha...
Ila ukisikiliza mikwara ya mashabiki [emoji1787][emoji1787]