Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Wenyewe wamerudi nyumaGame imeisha hiyo, sana sana tukifunguka kutafuta kusawazisha lazime tupigwe mengine ya counter.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenyewe wamerudi nyumaGame imeisha hiyo, sana sana tukifunguka kutafuta kusawazisha lazime tupigwe mengine ya counter.
Simba Baba Jane bye byeGoli la ugenini baya sana kwa timu kama Alhly
Ubongo unajaa sukari tu (starch).Wachezaji wetu waache kula ugali hupunguza uwezo wa akili.
Leo waliahirisha mfungo sheikh watafidia siku zinazokujaMuarabu lazima atapike ftari yote ya leo na wakati wa daku inabidi matumbo yao yagome kupokea chakula
Puumbafu kabisa, wachezaji wetu hawatumii akili, mara yarundikane, mara yatoe pasi mbovu...ugali, ugali ugaliNdiyo availabo fuudi mkuu
Sawa...😁😁 tusimame kma taifa jaman
RelaxJamani
We usijali Mkuu kesho nitakuwepo huwenda nikafurahi zaidi yako.Pelechepeleche kuleeeeee
Mwamba kwema? 😂Ubongo unajaa sukari tu (starch).
Kwani simba wamepata ngapi sasa hivi?Wachezaji wetu waache kula ugali hupunguza uwezo wa akili.
Tulia lakini sio AcksonPunguzeni wenge mnaona hadi mnajichanganya na kutaka kujifunga wenyewe 😁😊😊!