Weee....sema ukweli!Chumaaaa ya pili [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe unatoboaTatizo la Thimba waliwekeza muda kwenye game ya yanga kesho, wakasahau mazoezi
Acha wakandweπ
Kwan sisi al ahly hatukutoa nae sare hapaa kwenye AFL? mpira ndo kwanza umeanza, shida nn?
Arilaksie nini hapo Mtani wakati mko nyuma tayari? πRelax
Achana nayeWeee....sema ukweli!
nini kwaniJamani
Kina ndio nini wewe koloKona nyingine
Kina ya tatu kwa Simba
Kipa kaudaka
Tupo uwanjaniArilaksie nini hapo Mtani wakati mko nyuma tayari?
jamaa walikaa vijiweni wanadanganyana mechi yao ni rahisi sanaWazee wa Masandawena. Wazee wa kuvaa jezi ya Mamelodi hao.ππππππ π€£