Wafunguke wapigiliwe nyingi wameshikilia bombaHaya sasa fungukeni........
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nyoko wewe😂😂
Hata mimi naliona hiliKapombe na shabalala watafutiwe mbadala
Washazoea kupenyezwa mpaka Mara tano
Mtani utulizaneee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uuuwiiiii
Tulia weweWAHDA MAKANIII FIL MARASHI L HAKIDIL KAHA ZZAUWAAAAD 😁
Mxxxiiiiieeeeww.Pole sana
Usiseme Goli Jingine Sema Magoli Mengine ManneUkiangalia hii mechi Ahaly bado wananafasi ya goli lingine tena
Nani Al Ahly?Kona ya pili tunapata
Hajapaniki isipokuwa analazimika kutoka kwenye position yake kwenda kuziba makosa ya kapombeInonga pressure ya game imeshamkuta, amepanick na mistake aliofanya itabidi wafanye namna ya kumtuliza else atafungisha tena
Uzuri tutakutana tena hapa kesho kuwaona hao waliojiandaa vizuri.Wiki nzima waliwekeza nguvu kuishabikia mamelod wakisahau nao wana gemu gumu
Muda si mrefu hatutakuona hapaKona wanapata Al Ahly
kawaida yao hao kufa kiumeSi watani washaanza kula vichwa saa hii😄