Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Itakuwa ulichelewa ungemuwahiNilijua lazima ucheke Bwana Uto π .
Kesho atakufurahisha.
Huwa anaingia paap na kudelete wote waliomtangulia.
Akitangulia yeye watajoin uzi, akitanguliwa ana delete π π π
anyway...
#nguvumoja
Sikimbiagi kaka mkishinda ntawaunga mkono kama kawaida yanguMtani usikimbie Uzi...
Inshallah!!Sikimbiagi kaka mkishinda ntawaunga mkono kama kawaida yangu
Kushinda utashinda kaka je mtaweza kuwatoa ππππNo problem lakini,
Hii game tunaishinda kwa kishindo.
hamtaamini.
Wanatoka.Kushinda utashinda kaka je mtaweza kuwatoa ππππ
Ndoto yako na ikatimie.Ndoto niliyoota imenishtua. Maana haya ndo matokeo yake.
4:1
InshallahWanatoka.
A good thing tukishinda leo, na nyie kesho mnashinda.
Ndivyo huwa inakuwa hivyo.
Amen!!Mungu uwe pamoja na Simba, Mungu uwe pamoja na Al-Ahly, Mungu uipe nguvu ya ushindi SIMBA, Mungu ipe roho ya Uvumilivu Al Ahly