FT: Simba 0-1 Al Ahly | CAF CL Robo Fainali | Benjamin Mkapa Stadium | 29/03/2024

FT: Simba 0-1 Al Ahly | CAF CL Robo Fainali | Benjamin Mkapa Stadium | 29/03/2024

Kelele na majigambo yalikuwa mengi, hatimaye umefika wakati wa mbivu na mbichi kujulikana.

Hapa nyumbani kipigo hakiwezi kuleta sifa nzuri kwa Taifa, jitahidini watani.

Mdakuzi hizi ndizo zilikuwa mechi zetu za kwenda b…
 
Leo mnamo majira ya saa 3 usiku Klabu ya Tanzania Simba Sports Club itakuwa nyumbani kumenyana na klabu ya Al Ahly ya Misri katika mechi ya mkondo wa kwanza (First Leg) wa robo fainali wa Ligi ya Mabingwa Afrika.

Maandalizi ya timu zote mbili yameenda vyema, kinachosubiriwa ni mchezo rasmi leo 29/03/2024 saa tatu usiku.

Ungana nami katika uzi huu ili kupata matukio mbalimbali yatakayojiri kabla na wakati wa mchezo huo.

Karibu.
Timu za TANZANIA zimesha umaliza mwendo.
Kielelezo ni kuungua kwa mabasi yenye ushindanj mkali kama Simba na Yanga.
 
Leo ni sikukuu kwa wapenda kandanda nchini, najua ni mechi ngumu, ila Mnyama Mkubwa mwituni anaenda kuwanyoa waarab kwa goli zaidi ya 2.
Watanzania wote leo tupo nyuma ya Simba katika kuhanikiza ushindi.

Kila la heri kwa Tanzania.
Kila la heri kwa Simba.
Nguvu Moja!!
 
Back
Top Bottom