Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi JF inalipa pesa kufunguwa thread?Mkuu una haraka sana. Rekebisha hiyo paragraph ya 2. Mchezo ni leo Ijumaa tarehe 29. Imaonekana hii umeiandaa jana ukasubiri ifike saa 6:01 usiku uitupie.
Timu za TANZANIA zimesha umaliza mwendo.Leo mnamo majira ya saa 3 usiku Klabu ya Tanzania Simba Sports Club itakuwa nyumbani kumenyana na klabu ya Al Ahly ya Misri katika mechi ya mkondo wa kwanza (First Leg) wa robo fainali wa Ligi ya Mabingwa Afrika.
Maandalizi ya timu zote mbili yameenda vyema, kinachosubiriwa ni mchezo rasmi leo 29/03/2024 saa tatu usiku.
Ungana nami katika uzi huu ili kupata matukio mbalimbali yatakayojiri kabla na wakati wa mchezo huo.
Karibu.
Asante sana bi Kizimkazi kuwezesha wezi kutuibia wabongo.Ahsante sana Mama samia
Kuziwezesha timu kufuzu
Hakika tunaona juhudi zako 🥴
Mnafiki huyo nikifungwa atanizodoa na kunicheka sana leo hapa JamiiForums.Leo wewe na GENTAMYCINE ni wamoja
Acha uchawi weweKila la kheri Al ahly
View attachment 2947619
Yap kabisa tena chuma tatuMuarabu leo anatoboka
Hahaha alikuwa na haraka Sana naonaAna makosa mengi 😅
Ni kweli tatu zipo anapigwa kibonde Kwa mkapa hatoki mtuKuna mtu anapigwa tatu mtungi, ashajijua tayariiiii
Ikawe heriLeo ni sikukuu kwa wapenda kandanda nchini, najua ni mechi ngumu, ila Mnyama Mkubwa mwituni anaenda kuwanyoa waarab kwa goli zaidi ya 2.
Watanzania wote leo tupo nyuma ya Simba katika kuhanikiza ushindi.
Kila la heri kwa Tanzania.
Kila la heri kwa Simba.
Nguvu Moja!!
AminaNdoto yako na ikatimie.
Inshallah...