Amekusikia kocha boss.Koublan, striker ni striker tu, huyu ntibazonkiza kuna vitu anakosa, hawezi kusimama kama namba 9
Sizokubuza kathathu 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu wawwkee utopoloo, udake maokotoo ya kushatoo, hicho kikosi kipanaa wee huogopiiii?
Duh, kazi ipo[emoji119]Washinde 2 bila ndio waende nusu fainali
Toa babacar na saidoKuna sub zinafanyika hapa naomba mniambie nani na nani wanaingia na wanaotoka
Ni mwendo wa tiara tu leo[emoji17][emoji17]Leo mbona kupaishaaaa sanaaaa kunaniii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu hizi fix sasa, LolSizokubuza kathathu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naona GSM na huku anazamini timu nyingine zaidi ya YangaTumetumia nguvu mno kujaribu kurudisha goli. Hapa ni kusubiri dk 90 nyingine huko uarabuni ambazo ni ngumu mara 10 ya hizi za leo.
Hvi hawa Simba wameambiwa kufunga mpaka upige mpira wa juu? Maana naona wanashindana kupaisha mipira TU.Onana Super sub [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Naanza kuongea kizulu mapema 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu hizi fix sasa, Lol