We Gongowazi kesho tutakuwepo na msituchagulie silahaBado haijachoka,tukiwaambia Hamna timu ya ushindani mnaleta mambo ya GSM kuzamini timu sita NBC
Anatoka Jaribu Tena anaingia Mangungu.Kuna sub zinafanyika hapa naomba mniambie nani na nani wanaingia na wanaotoka
Tumezidiwa.Simba hampo sirias kabisa kuna mahali pengine ni pa kujaribu au mmeshiba futari .
Mpo kizembe sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti eeeh? Bas sawaa.Wanamaanisha wataenda kufunga huko juu uarabuni sio hapa kwa mkapa
Tulizanaaa bhanaa wee.84'
Simba Sc 0 - 1 Al Ahly
Timu Yao Unacheza Kesho Hii Ya Leo Wanasema Hahiwahusu SanaZile jezi za OBUNTU - BOTHO walizonunua kama njugu hawajazivaa?
๐ jirani leo ni leo labda wafunge kamba za viatuJirani ntakuchapa ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Kesho sio Mbali mkuu tutiane Moyo wote ๐คฃ๐คฃLabda kona ya Kitanda
Nimetulia Vyema Kabisa ๐๐๐Tulizanaaa bhanaa wee.
AmeeeenHamna mfungaji hapa,
Acha niingie kwenye chumba cha maombi nimuweke mikononi mwa bwana Yanga๐๐
Sidhani kwa Uchezaji huu1-1 FT
Tumefeli.Timu imetota, kila mtu kajichokea.