Kenge hasikii mpaka atoke damuSimba tumekwama....
Tuna hali ngumu.
Mwakarobo aka mwakalopoMaana halisi ya kuimarisha jina la mwakarobo ndiyo hii
Labda watoke kwa mkapa baada ya mechi 😂Hawatoki makolo leo 🤣🤣🤣
[emoji3][emoji3][emoji3]Huyu onana anakimbia kama ana kinyesi matakoni vile [emoji23]
Game tumelala hii.
Young Africans 3 - 0 Mamelod[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ntakua winja winja mbonaa. Kaa kwa kutulia, kesho nayo ni siku.
ahahahahhahhhhahahhhhaha dah poleni sana ndugu zangu wazee wakina mwakalobo cup[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba mwamba anafanya nini na sabuni 🤣🤣🤣
Timu imechoka kweli kweli...Mtu anausahau mpira halafu anaenda yeye Golini leo maajabu
🤣🤣🤣 Bado hamjasemaRefaa aendee hata kwenye VAR, km anaona haamini alichokionaa. Lol
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Young Africans 3 - 0 Mamelod
Ndio mna timu kweli mpaka mnametegemea huyo fluteMiquisson kaonesha kitu