Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
WAHDA MAKANIII FIL MARASHI L HAKIDIL KAHA ZZAUWAAAAD 😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msijisahaulishe, mbona nyie mmeshachukua kombe lenu tayari la Mwakarobo? mechi haina umuhimu hii kwenu, relax...Hizo kona zinachosha na kukasirisha, maana hata hazitoi faida yoyote, mxxxiiiiieeeeew
Manaana kua?al ahly wamekuja na kila kitu chao kasoro uwanja, huu wameukuta hapa
Dua la kuku halimpati mwewe,mlitumia muda mwingi kujadili Yanga badala ya madhaifu ya timu yenu.We usijali Mkuu kesho nitakuwepo huwenda nikafurahi zaidi yako.
U never know
Mbona wee hukushiriki hilo la mbuzii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kombe La Mbuzi Lile [emoji23][emoji23][emoji23]
Slow sanaWifi ya ttcl ipo?, au ilikua siasa tu
Kona pachaKona ya pili kwa Al Ahly
Kwema, hawa jamaa wamenijaza upepo mapema sana aiseeh.Mwamba kwema? 😂
nyau waeleze wao uwanja wameufanya nini hadi unatelezaManaana kua?
Tutakuwepo keshoDua la kuku halimpati mwewe,mlitumia muda mwingi kujadili Yanga badala ya madhaifu ya timu yenu.
Si watani washaanza kula vichwa saa hii😄nini kwani
Inonga pressure ya game imeshamkuta, amepanick na mistake aliofanya itabidi wafanye namna ya kumtuliza else atafungisha tenaShabalala ana overlap sana bila kuangalia threat ya al ahly ktk flanks...Al ahly wanaona nafasi ya kushambulia kupitia weakness ya simba ktk upande wa kushoto
Aisee😂😂😂😂😂dada muhuni wewe ukaamua kumuwekea hadi kiarabu!أشاهد المباراة 🤣🤣🤣