Donnie Charlie JF-Expert Member Joined Sep 16, 2009 Posts 16,908 Reaction score 19,123 Apr 28, 2024 #301 DAR ES SALAAM; Mabingwa wa Kombe la Muungano 2024, timu ya Simba wamewasili jijini Dar es Salaam wakiwa na kombe lao walilotwaa jana usiku baada ya kuifunga Azam FC bao 1-0 katika mchezo wa fainali Uwanja wa New Amaan Complex. - #HabarileoUPDATES
DAR ES SALAAM; Mabingwa wa Kombe la Muungano 2024, timu ya Simba wamewasili jijini Dar es Salaam wakiwa na kombe lao walilotwaa jana usiku baada ya kuifunga Azam FC bao 1-0 katika mchezo wa fainali Uwanja wa New Amaan Complex. - #HabarileoUPDATES