Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utafikaje CAFCL Bila Kuchukua NBCPL?Huwa tunaliangalia tu huku tukiruka kimataifa zaidi. NBCPL haina mshiko kama wa CAFCL, tumepiga hela ndefu sana huko kwa muda mrefu mrefu. Tuna utajiri wa kutosha kuliko nyie manaochukua ligi ya NBCPL na bado mnabaki kuwa akina pangu pakavu tia mchuzi 😁
Bingwa pekee wa Bara na VisiwaniSimba ni bingwa halisi wa Tanzania.
Ni ushindi siyo ubingwa.simba yenye huzuni yasherehekea ubingwa wa muungano
Dj walete na song nailazimisha furaha by Lady Jd.Simba ni bingwa halisi wa Tanzania.
Kazi ya uchawa unaitendea haki KisuguHuwa tunaliangalia tu huku tukiruka kimataifa zaidi. NBCPL haina mshiko kama wa CAFCL, tumepiga hela ndefu sana huko kwa muda mrefu mrefu. Tuna utajiri wa kutosha kuliko nyie manaochukua ligi ya NBCPL na bado mnabaki kuwa akina pangu pakavu tia mchuzi [emoji16]
Unakoelekea utavaa chupi kichwani, Mangungu hapati shida kurudi madarakani kama hizi ndio mbumbumbu anazoziongoza, m uchaguzi ujao atamwalika Messi kwenye mkutano wa uchaguzi.Tunasherehekea ubingwa wa pili musimu huu.
Hapo ndipo mashabiki wasiojua kambumbu (hasa kina utopwinyo) wamnapopotezwa.Utafikaje CAFCL Bila Kuchukua NBCPL?
Símba imebeba ubingwa wa pili mwaka huu, halafu anatokea mbumbumbu mmoja anaanza kumlaumu Mangungu na Try again, wewe huoni hawa hamnazo?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila mashabiiki jamanii, woiiiiih
Kwenye hayo mashindano, angeongezwa mashujaa fc, makolo msingetoboaBingwa pekee wa Bara na Visiwani
Sawa Mkuu Ngoja Tuone Hiyo Nafasi Ya Tatu Itakupeleka Wapi.Hapo ndipo mashabiki wasiojua kambumbu (hasa kina utopwinyo) wamnapopotezwa.
Simba haikutwaa ubingwa wa NBCPL Ila ilishiriki CAFCL ikatinga hadi robo fainali.
Bado huelewi kwa nini Simba haiwezi kuwa sawa na utopian amphibian kimataifa ?
Endeleeni kutamba na huo ubingwa wa NBCPL ilhali hamjaifikia Simba hata 1/8 kwa ubora wa kimataifa.
Poleee kwa maumivuu!!! Kunywa maji mengi, afu relaaaaxxSímba imebeba ubingwa wa pili mwaka huu, halafu anatokea mbumbumbu mmoja anaanza kumlaumu Mangungu na Try again, wewe huoni hawa hamnazo?
Yanga mpaka dakika hii hajashinda ubingwa wowote wapo kimya wana raha tele, kwa nini kila siku asakamwe Mangungu na Try Again wakati timu inafanya vizuri inaleta makombe tu?
Mitano tena kwa Mangungu.
Kwa lipi? Goli hajafunga yeyeMpe heshima yake sasa Freddy