Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Man U, huwa hawaweziKwenye battling, Simba lazima wapoteze mpira sijui wachezaji huwa wanafumba macho au woga wa kuumia ni mkubwa au sijui shida ni nini.
Sasa mbona hajafunga kama hazuiliki?Nimebaini hakuna mchezaji Simba anayeweza kumzuia Kipre Junior na huyu Onana ana shida ya ubongo wake. Hayuko normal.
Nijumuishe mkuu. Huyu mie simkubali hata kidogo.Kwa hapa bongo anayemchukia Freddy ni Diarra pekee, vipi na wewe tukujumuishe na chuki za Diarra kwa Freddy?
Wewe si ni churaNijumuishe mkuu. Huyu mie simkubali hata kidogo.
Inabidi mwakani tulianishe kwenye mafanikio.Simba Tumeibeba Ndoo
Muhimu.Hili pia ni Kombe
Hili pia ni Kombe
Ila ni consolation cup kama ile ngao ya jamii.Hili pia ni Kombe
wamecheza mechi ngapi?Hili pia ni Kombe
Kama humkubali ilikuwaje siku ile akamtungua Diarra kipa bora wa team ya taifa Malí?Nijumuishe mkuu. Huyu mie simkubali hata kidogo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnachekeshaa kweli.Taji La pili hili Msimu huu....!
Wakati huo huo Utopolo wanabung'aa bung'aa Macho..!
Full time : S.S.C 1 - 0 AZM