FT: Simba 1-0 Orlando Pirates | CAF CC quarter final | Benjamin Mkapa Stadium

Vyura wa jangwani wanapiga Makelele na venye mvua imenyesha maji yamejaa wanademka tu
Kwereeeeee! Kwereeeeee!
Kwereeeeee kwiriiiiiiiiiii koookooookoooo!
Tumetupa jiwe Moja yamesizi Kwa muda kimyaaaaa
Baada ya dakika Tano
Kriiiiiiii
Koroooooo

Gwa Newyokooooo!
 
Simba wakiacha ule utoto wa kuruhusu magoli ya kizembe ugenini nafasi ipo kabisa kwenda semi final, sijui kinawashinda nini kuwa na discipline kwenye defence.

Let us make them suffer nyumbani kwao, wachezaji wakimbie uwanja wote kuwazuia kucheza mpira wao waliouzoea.
 
Hivi mara ya mwisho Utopolo kuifunga timu ya nje ni lini ?

Na ilikuwa timu gani ?

Na kwanye mashindano gani ?

Goli la ushindi aliyefunga nani ?

NB
Hivi Utopolo ipo nafasi ya ngapi kwa ubora Africa ?
 
Simba wakienda bondeni nao watakua wanaruka ruka nakua na kitete kama hao jamaa walivyokua wanacheza kwa mkapa.simba ameshindwa kutumia vizuri uwanja wa nyumbani.goli moja ni dogo sana ukienda ugenini.dalili zakwenda kuzuia goli bondeni ni ndogo sana wanapaswa kujipanga haswa.
 
Unaonaje ukienda kuwafunga wewe ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…