Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Aiseee.... matokeo yenu kule Algeria hatujasahauPira Papatu Papatu kazini wanasimba sijui tunaelekea wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee.... matokeo yenu kule Algeria hatujasahauPira Papatu Papatu kazini wanasimba sijui tunaelekea wapi
Wewe ndiye unajua maana ya ushabiki, alafu Simba haijaporomoka kwa kiwango kikubwa kama tunavyoimbiwa humu.Changamoto katika timu ni suala la kawaida wewe shabiki wa juzijuzi. Timu haiwezi kuwa kwenye peak muda wote. Kuweni wavumilivu, timu itainuka tena. Manchester, Liverpool, Chelsea zote zimepitia changamoto, lakini mashabiki wamebaki na timu zao.
Simba bado ni mbovu. Kwa bahati mbaya Viongozi wa Simba na Wachezaji hawalioni hili kabisa. Bado ni mbovu kila kona.Leo 25/11/2023 katika dimba la Bnjamini Mkapa Dar es Salaam unatarajiwa kuchezwa mchezo wa kwanza wa Kundi B kati ya Simba SC ya Tanzania dhidi ya Asec Mimosa ya Ivory Coast.
Mechi hii itaanza majira ya saa 10 kamili jioni.
Upi mtazamo wako kuhusu mechi hii?
Dakika ya 44 gooooal Saidoo. Simba 1 - 0 Asec
Goli la Serge Pokou wa ASECMimosas ya IvoryCoast limesababisha mashabiki wa Simba watoke Uwanja wa Mkapa Jijini Dar es Salaam wakiwa wanyonge baada ya mchezo huo wa Ligi ya Mabingwa Afrika Kundi B kumalizika kwa sare ya 1-1 licha ya Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’ kutangulia kufunga
Mchezo ujao ni Desemba 2, 2023, Simba itakuwa ugenini Nchini Botswana kucheza dhidi ya JwanengGalaxy wakati ASEC itaikaribisha Wydad ya Morocco
Umepigwa 3 kwa nunge, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatujafungwaaaa.Nilikuona pale taifa........[emoji3][emoji3].
Botswana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii timu inayoitwa galaxy fc iliyomtungua Wadada ac nyumbani inatoka nchi gani ya kiarabu hapa africa?
Jwaneng Galaxy ya BotswanaHii timu inayoitwa galaxy fc iliyomtungua Wadada ac nyumbani inatoka nchi gani ya kiarabu hapa africa?
Kwani nakataa mjukuu?Umepigwa 3 kwa nunge, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Simba bado ni mbovu. Kwa bahati mbaya Viongozi wa Simba na Wachezaji hawalioni hili kabisa. Bado ni mbovu kila kona.
Wakati mwingine pia ifike mahali tusiabudu Wazungu kupita kiasi...yaani Kocha lazima awe mzungu? Kama hamtaki makocha wa kibongo..nendeni mkalete Wasenegal, Wanaigeria, Waivorycost...yaani zipo nchi Afrika zina makocha wazuri tu na wengine walicheza ligi za Uingereza, Ufaransa, Ujerumani n.k
Jambo jingine..baadhi ya viongozi haswa Wazee wasiwe last sayers na kocha pia asiwe last sayer...washirikiane...ndo maana kuna benchi la ufundi.
Simba bado mbovu.
Unasema?Haya sasa kesho Yanga mnunue peni na madaftari mjifunze jinsi ya Kucheza na kushinda kwenye haya mashindano Sawa ?