FT: Simba 1 - 1 Asec Mimosas | CAF Champions league | Mkapa Stadium | 25.11.2023

FT: Simba 1 - 1 Asec Mimosas | CAF Champions league | Mkapa Stadium | 25.11.2023

Changamoto katika timu ni suala la kawaida wewe shabiki wa juzijuzi. Timu haiwezi kuwa kwenye peak muda wote. Kuweni wavumilivu, timu itainuka tena. Manchester, Liverpool, Chelsea zote zimepitia changamoto, lakini mashabiki wamebaki na timu zao.
Wewe ndiye unajua maana ya ushabiki, alafu Simba haijaporomoka kwa kiwango kikubwa kama tunavyoimbiwa humu.
 
Leo 25/11/2023 katika dimba la Bnjamini Mkapa Dar es Salaam unatarajiwa kuchezwa mchezo wa kwanza wa Kundi B kati ya Simba SC ya Tanzania dhidi ya Asec Mimosa ya Ivory Coast.

Mechi hii itaanza majira ya saa 10 kamili jioni.

Upi mtazamo wako kuhusu mechi hii?

Dakika ya 44 gooooal Saidoo. Simba 1 - 0 Asec

Goli la Serge Pokou wa ASECMimosas ya IvoryCoast limesababisha mashabiki wa Simba watoke Uwanja wa Mkapa Jijini Dar es Salaam wakiwa wanyonge baada ya mchezo huo wa Ligi ya Mabingwa Afrika Kundi B kumalizika kwa sare ya 1-1 licha ya Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’ kutangulia kufunga

Mchezo ujao ni Desemba 2, 2023, Simba itakuwa ugenini Nchini Botswana kucheza dhidi ya JwanengGalaxy wakati ASEC itaikaribisha Wydad ya Morocco
Simba bado ni mbovu. Kwa bahati mbaya Viongozi wa Simba na Wachezaji hawalioni hili kabisa. Bado ni mbovu kila kona.

Wakati mwingine pia ifike mahali tusiabudu Wazungu kupita kiasi...yaani Kocha lazima awe mzungu? Kama hamtaki makocha wa kibongo..nendeni mkalete Wasenegal, Wanaigeria, Waivorycost...yaani zipo nchi Afrika zina makocha wazuri tu na wengine walicheza ligi za Uingereza, Ufaransa, Ujerumani n.k

Jambo jingine..baadhi ya viongozi haswa Wazee wasiwe last sayers na kocha pia asiwe last sayer...washirikiane...ndo maana kuna benchi la ufundi.

Simba bado mbovu.
 
Umepigwa 3 kwa nunge, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani nakataa mjukuu?

IMG-20231126-WA0017.jpg
 
Simba bado ni mbovu. Kwa bahati mbaya Viongozi wa Simba na Wachezaji hawalioni hili kabisa. Bado ni mbovu kila kona.

Wakati mwingine pia ifike mahali tusiabudu Wazungu kupita kiasi...yaani Kocha lazima awe mzungu? Kama hamtaki makocha wa kibongo..nendeni mkalete Wasenegal, Wanaigeria, Waivorycost...yaani zipo nchi Afrika zina makocha wazuri tu na wengine walicheza ligi za Uingereza, Ufaransa, Ujerumani n.k

Jambo jingine..baadhi ya viongozi haswa Wazee wasiwe last sayers na kocha pia asiwe last sayer...washirikiane...ndo maana kuna benchi la ufundi.

Simba bado mbovu.

 
Back
Top Bottom