Azam ndo wenye makosa. Wewe kwani umeiba.?Nikionesha kwenye kibanda umiza kupitia link, mwenye makosa ni mimi ama ni mwenye link?
PointUtakufaukishangilia timu za wenzako Bibie,stick kwa team yako mzee.
Hivi mbona siwaelewi, watu walikuwa wanamlilia Chasambi acheze leo takataka tena? Nani sasa anafaa?Chasambi, Kijili, Mzamiru hizi ni takataka hatuna wachezaji hapo.
Ngoja tuone😀😀Ken Gold ni kama wanasubiria kuruhusu goli muda wowote ule
Hao ndio watakuwa mwiba mchugu hadi muite maji kahawaTimu inayoshika mkia ni ya kuiadhibu mpaka waite maji Mmma
Sana.Castor Mhagama ni kipa mzuri sana hata Ken Gold wakishuka hakosi timu
Lzm walale na draw hap30’ Simba 0-0 Ken Gold