Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Sawa mkuu βΊοΈπβΊοΈπNgoja kwanza wanakula chakula cha jioni now πππ hata wasipoweka Simba SC ana goli mbili
ππππWatakua Yanga hao
Wekeni tutapokeaTff waweke tuzo ya penati pia
Ngap ngap kiongozi?Naunga mkono hoja na uzee unachangia
Simba SC anaongoza goli mbiliNgap ngap kiongozi?
Nahilo ni penati tena?Simba SC anaongoza goli mbili
Apige 4 akagombee kiatuAtebaaaaaaaaaa
Hata kamaPenati FC
Sio ateba kapiga kwenye utosiNahilo ni penati tena?
Sasa beki unaenda kukita mguu ili iweje unaacha kucheza mpira na unajua upo kwny box!!Thibitisha kama ilikuwa ya mchongo
Naziona zikifika 5 akiwa vizuri kipindi cha piliApige 4 akagombee kiatu
Yule anaelia goli la penati mwambie tumelifuta afanye ni 1 kwa 0 .Sio ateba kapiga kwenye utosi
Naunga mkono hojaYule anaelia goli la penati mwambie tumelifuta afanye ni 1 kwa 0 .
Una roho ngumu sana kuendelea kuipigania KenGold katika mechi kama hiiPenati FC
Tayari Principled kashaseti huyu jamaa yupo makini sana na kazi yake wale wengine miyeyusho sana
apewe kadi utapigaje mpira kwenye utosi ukiumia je..π€£Sio ateba kapiga kwenye utosi
Yule jamaa ni Yanga, huwa hafurahishwi na sisi kufunga
Na hapo bado tunajenga timuSimba inatisha sana