ππππWamekata matangazo
Arsenal katangulia na 2-0 hadi half time angalia mpira sasa hivi inasoma 2-2, subiini comebackNa kuvaa jezi zao nyeusi lakini wapiii [emoji1787]
Si uwashe radio π€£Waliopo uwanjani huko vipi matokeo..
Hatari sana..Ni kote aisee
Radio tena ?ππππ
Nipo banda umiza wanasema wawekewe hata radio..!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nipo banda umiza wanasema wawekewe hata radio..!!
Peaneni mbinuWanayanga msiogope, Hawa tumewatanguliza na baiskeli ya mbao
Hii game bado mbichi
Mbn kama tupo banda moja[emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nipo banda umiza wanasema wawekewe hata radio..!!
πππ
Kwani hawakuona kuna mvua tokea asubuhiMvua angalia juu
[emoji1787]Aki Wallah!!!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nipo banda umiza wanasema wawekewe hata radio..!!
Mbiliii bilaWaliopo uwanjani huko vipi matokeo..
Wanaweka sawa mitamboKwani hawakuona kuna mvua tokea asubuhi