Kumna comeback moja matata we subiriYanga wanakosakosa hapa goli la wazi qummamae.
Kipa wetu mzuri
Anytime goalscorer mayele
Tulia 😂😂 Game na Madrid ilikuwa kali sanatumebaki hapa tunawatazama senali, ila wenzetu wana mpira bhaana tchaaah'..!!🙌
Bado bwanaMitambo imerejea
Bado subiri wanaweka sawa mitamboVipi azam wamerudi ?
NdioVipi azam wamerudi ?
Nitoke Sumbawanga nije Taifa? WoiNjooni taifa achaneni na kuangalia tv kila siku.
Dah....na wewe upo hapa? 🤣 🤣🤣🤣Mbn kama tupo banda moja[emoji2][emoji2]
Napendaga vitu unavyotazama kwenye mpira mdogo wangu, mpaka namiss enzi za Brazil..!😂😂Arteta amependeza 😍