Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Na hivi mayele anacheza for his own glory sio for the club sijui aisee tukipona leo sijuiYanga bado tupo pamojaaaa
Leo pagum sioni matumaini kabisaSio mala ya kwanza hawa jamaa kututangulia 2
We tulia
BIla shaka huo uzi ndo umesababisha ajiite Chama Baleke. 😂😂Takwimu Kibu D Vs Mayele
Leo Anafuturisha Hujui Kumi La Mwisho Kuchuma MemaMshana alitabiri goli 3 bila, hebu tusubiri tuone huyu mzee anatupeleka wapi
Ule wa kunyenyua kwa juu?Yaan ndio nimeona ule MPASI wa CHAMA huyu jamaa ni fundi
Kwa hiyo hapo sehemu ya Mwamnyeto atacheza nani kati ya Ki na Mudathir? Au switching itakuwaje?Toa sureboy na mamnyeto! Weka muhadhir na ki Aziz, hapa ndo ntaona kama Kuna tactical changes zozote
Dah! Kwa hali hii ubingwa wetu hautakuwa na shamrashamra.Mpigwe tu hakuna namna angalau mtaani kutulie maana mna kelele nyie!
Nlkuwa nafatilia hii mechi,asee nmefurahi saa haya majambawazi kubanwa mbavu leo..Kwingineko duniani:
Arsenal wameanza kukata moto kwenye safari ya ubingwa, Mancity wanafukuza mwizi kimyakimya.
Unaweza uailale kabisa, mpira unakwisha pale refa anapomaliza mpira.MUNGU NAKUSHUKURU SANAAA LEO NITALALA
Raha sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nyieee rahaaaaa
Mpaka muda huu half time man of the match ni mganga wa yanga
Tunarudi kwa kishindoYanga bado tupo pamojaaaa
Missing you too shunieNey miss you