We nae kuna muda unakua kama tejaLine 2 katudhurumu goli
DaaahOffside kaka
Kipa alifanya vzr kumfuata kuliko kusimama palepale. Big up kwa kipa wa simbaAziz Ki anakosa goli akibaki na kipa
Atakuwa amepokea muamala huyu si bure huyuHuyu kibendera nina mashaka naye
Vyura vinakoroma mkuu [emoji23]kamanda wangu vipi? unashabikia mpira? nani kafungwa
It is what it isSay no more!!!!!
ndio hilo lililokataliwahesabu zinasema bado goli moja
vyura ndio Yanga? Poleni lkn bado mudaVyura vinakoroma mkuu [emoji23]
Sisi wa Kibaha kwa Mfipa, huu ndio muda wa kuondoka uwanjani...
Na Iwe hivyo....hesabu zinasema bado goli moja
Bado lipondio hilo lililokataliwa
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Simba anapigwa kama NGOMA hapo baadae MANDONGA mtu kazi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sisi wa Kibaha kwa Mfipa, huu ndio muda wa kuondoka uwanjani...
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] tulia basiUnasali kwa Mwamposa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi wa Mapinga, refa atufikirie tunaoenda mbaliSisi wa Kibaha kwa Mfipa, huu ndio muda wa kuondoka uwanjani...
Litafungwa dakika za niongeza na beleke au atakae ingia sub ya beleke kwa counterhesabu zinasema bado goli moja
Mmekuwa mdebwedoHatari hii jamani leo mbona wananchi tumetepeta hivi kama mlenda vugu vugu