Wakati natoka uwanjani nimepishana na viongozi wa Uto wanabishana kama wamlipe mganga au lah...
Arooooo90
+5
ARV ZINAONGEZA TUMAINI....alisikika chura mmoja akikoroma kwenye dimbwi
Kitu ambacho ni ngumu sana kuikwepa, aongee vizuri na wazee wake.Huyu golikipa Ally salim tayari keshamnyang'anya namba Manula,kikubwa ajikinge na misumari.
Yupo vzr sn allyKama sio kipa namba Tatu
anawatafutia goli Yanga, mpige kofi
Mechi ya watani huwa inaamuliwa kwa factor nyingi sana siyo ubora peke yake.
Na lazima iwe kuimba kwa kupokezana, hapo kilichoamuwa mechi siyo ufundi wa uwanjani ni timing tu ya Yanga imezidiwa ujanja.
Siache shemeji niko msongo wa mawazo nikiifikiria chelsea yangu
Maneno ya mkosaji hayoMuone bichwa lako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hatujinyongi wala hatunywi sumu...
Tumewaonea huruma leo, since 2019 hamjatufunga...
hovyo sanaKibu weweeeee unakosaje hapo
Mimi na bocco tunafanana kila kitu hadi urefu anachonizidi ni uzee tuu haahaNyie me nampendaga Bocco,🤭
Depal usije kunisemea kwa kaka yako tafadhali..
Mvumilivu sana huyo dogo...Huyu golikipa Ally salim tayari keshamnyang'anya namba Manula,kikubwa ajikinge na misumari.