Hiyo mitatu mlikua mnatufungaHongereni, leo zamu yenu baada ya miaka mitatu.
Katukana? Kashindwa kuvumilia?
Ila mmepooza sana, mnajua kabisa kombe ni la wenye mpira wao watoto wa town.
Pole sana mtani, ulitukaba kooni miaka mingiKwa kweeli. ππ
Ila ndo mpira Mtani wacha tugange yajayo sasa.
Mkuu!!!tupo sawa?Watasawazisha mwambie sjmba wamefunga mwanzo yanga watafuatia.mpira dk 90
Mbele mwikoHapa leo hatuchomoi aisee. Wachezaji bado hawaoneshi kabisa kama wako nyuma kwa goli 2-0!
imekuwaje mwaisaScoreboard itasoma hivi full time Thimba 0-2 Yanga
πππ hao wakiendelea tunawauaππππ
Wafanye yote ila waniachie watoto wa 'ex jersey nambari 10 mgongoni', Frank James Lampard..!!
HatuwaogopiUsicheke sana Wydad wanaangalia hii mechi.
ππ₯΄Oyaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Kuna Mwanaume anaweza himili Kofi la pumbu??
Si lazima atulieeee tu
Mwaisa kaenda kula maparachichi TUKUYU.imekuwaje mwaisa
Achana na kupooza kwetu, haya watoto wakali sasa mukuje mtuchangamshe sisi kazi yetu tayari bado faraja zenu kwa kazi ngumu yetuIla mmepooza sana, mnajua kabisa kombe ni la wenye mpira wao watoto wa town.