Unataka wapinzani wachezaje ili ionekane haujakamiwa?.watoto wadogo wanaivimbia simba wanacheza kwa kukamia ili kila mmoja aonekane na benchi la simba kwa tumaini la kuwa watasajiliwa dirisha dogo
Shughuli tukitoka nje sasa ndio unashangaa mwamba wa Lusaka hata kwenye bechi la akiba anakosa namba, kumbe ukweli ni kwamba ametoka kwenye ligi dhaifu.Kikubwa point tatu.
Simba inamarefa wake na Utopwenga inamarefa wake,kila mtu atumie mbinu anazojua ili apate point tatu.atakae taka haki afe ili aendembinguni huko akapate haki.
Your game is fair play[emoji122][emoji122]Ukiupenda mpira kabla ya timu zetu, utakubali leo tumebebwa.
Anyway kapombe amekuwa mchezaji wa kawaida, Gadiel Michael sijui kwa nini kakaa humo hadi tamati.
Nimetoa credit hizo mapema hata kabla ya mechi kuisha, kipindi cha kwanza nilipingana na statistics zilizosema simba amepossess kwa asilimia 53 kuliko geitaUnataka wapinzani wachezaje ili ionekane haujakamiwa?.
Maana usipopata matokeo umekamiwa au GSM katoa Mil15.
Football is fair game, sometimes unatakiwa kumpa credits opponent.
Kuna watu wanazungumzia kuwa na ile offside ni uongo ni kwamba Geita walipata goli halali. Mwenye video ya replay atusaidie kutuwekeaikiwa hivi mbona yanga pale juu wanashuka
Kuna watu wanazungumzia kuwa na ile offside ni uongo ni kwamba Geita walipata goli halali. Mwenye video ya replay atusaidie kutuwekea hapaNaifunga hii mada sasa
Namungo 1 - 0 Yanga
Simba 2 - 2 Geita gold
Haya sasa utoo furahia
[emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850]
Achana nao hao wanashindwa hata kuona mazinhira ya uwanjani leo yalikuwajeKuna watu wanazungumzia kuwa na ile offside ni uongo ni kwamba Geita walipata goli halali. Mwenye video ya replay atusaidie kutuwekea
Ahsante boss ahsante.
Mhhh aisee ...na Kapombe naye Kagongwa kama Fei Toto au ...ila namna Kapombe alivyojiungusha no rahisi sanarefa kidanganyika kuwa kasukumwa, poleni sana Geita,ndiyo maisha yalivyo!Football ni mchezo wa hadharani.
Tumpe heshima yake Bocco mkuu.Dirisha la usajili lifunguliwe tu BOCCO ni wa kupelekwa Mtibwa hata bure.
Ni makosa ya kibinadamu yanaweza kumkuta mtu yeyote tumsamehe refa
Nami nalisubilia ssna hiyo replayKuna watu wanazungumzia kuwa na ile offside ni uongo ni kwamba Geita walipata goli halali. Mwenye video ya replay atusaidie kutuwekea hapa
Jana kama hivi ulikua unaniambia nateseka, vipi leo hii wewe ukiambiwa unateseka utajiskiaje?Wakifanyiwa Simba ni makosa ya kibinadamu.....kweli kunya anye kuku, akinya bata ameharisha
ama kweli nyani haoni kunduleNi makosa ya kibinadamu yanaweza kumkuta mtu yeyote tumsamehe refa
ama kweli nyani haoni kunduleNi makosa ya kibinadamu yanaweza kumkuta mtu yeyote tumsamehe refa
Pale hakuna kosa la kibinadamu ni mkuu refa ni kimeo tuNi makosa ya kibinadamu yanaweza kumkuta mtu yeyote tumsamehe refa
Ni kweli hilo sipingi, ila sio wote walio ona kama wewe siku hiyo, wapo walio ridhishwa na maamuzi ya refa
Hii ya leo ni bahati mbaya kwanza ilikua usiku refa hakuweza kuona vizuri tofauti na ile ya yanga iliyofanyika mchana
Mimi ni simba damu damuJana kama hivi ulikua unaniambia nateseka, vipi leo hii wewe ukiambiwa unateseka utajiskiaje?
Kwani yanga huwa hawabebwi?Mimi ni simba damu damu
Lakini huu mtindo wa MO kuhonga marefa sipendi kiukweli
Hataki kukubali yanga wako vizuri zaidi yetu. Kwanza katuletea wachezaji wa bei rahisi..
Tarehe kumi na moja tunafungwa tena bila kuhonga hatushindi..