FT: Simba 2 Geita Gold 1 NBC Premier League

Ajibu,Kennedy,Gadiel,Banda,Kibu,Bocco wanaanza
 
Ukiangalia tu upangaji wa kikosi unoana kabisa kuwa huyu kocha anajua.
 
Tunaendelea kumpumulia uto kisogoni halafu tarehe 11 tjnachukua points zetu 3 muhimu tunaanza safari ya ubingwa rasmi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Unaotaa?, Nyie Muifunge Yanga Hii??
 
Hivi inakuwaje mnaiona Yanga Sc kama team bora sana huu msimu? Au ni kwasababu iliifunga Simba Sc ?
 
Yani ndo napowashangaaga Yanga kujiaminisha kuwa hawawezi kufungwa na Simba.How mshindwe kufungwa? Mna rekodi za kuifunga simba mara ngapi? Mpk Simba isiweze kuwafunga acheni uzwazwa. Si juzi mmefungwa kwny kombe la azam. Au kwa sbb mltufunga kwny ngao ndo mmejipa tiketi ya kutofungwa?
 
Yanga Haiwezi Kufungwa Na Simba Tar 11, Tupo Apa Bado Siku Kumi Tu
 
Basi mjitahidi kumaliza hii round ya kwanza mkiwa unbeaten kama misimu uliopita, kuhusu ubingwa kaeni ntilie kwanza.
Sisi Tunachukua Huu Ubingwa Na Hatutafungwa Na Simba Kama Unabisha Subiri Uone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…