FT: Simba 2 Namungo 0. Simba yatinga fainali ya Mapinduzi Cup 2022

Kibu tu ndio hana vi vitu vitu [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Your browser is not able to display this video.
 
Hili ndio shambulizi la namungo lililokuwa na hatari katika dakika za mwisho wa kipindi cha pili

Your browser is not able to display this video.
 
Yaani sisi Simba SC ni mafundi sana wa mpira, mpaka tunaboa yaani..!

Tunazifundisha Timu za Tanzania namna ya kusakata kabumbu yaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…