OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Huyo jamaa hakutakiwa kabisa kuwa beki.Zimbwe ndio anapiga macontrol dunia nzima hakuna
tukienda matuta Simba tunatokaSimba wajitahidi hii mechi wasitoe droo maana siiamini kabisa Simba yangu kwenye matuta
Sakho kaja saa ngapi huku kulia
Sioni kabisa pua zao humu, sasa watakuja na tambo gani wakati walipeleka full mkoko na bado wakatolewa?[emoji23]hivi yanga wapo kweli online mbona kimya hivi ?? [emoji23][emoji23]
hiyo namba yake kuna majitu yanacheza Ulaya,ila wangempeleka kumpa uzoefu kama dogoHuyu Sakho Kwanini Hayuko AFCON?
Hebu fikira angekuwepo Sakho na Miquisone kwa pamoja.Sakho auzwe Chelsea
na hili pira linalopigwa hapa basi ndo wanazidi tu kuvurugana [emoji23][emoji23]Sioni kabisa pua zao humu, sasa watakuja na tambo gani wakati walipeleka full mkoko na bado wakatolewa?[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Embu paza Sauti.....Ngapi Vilee...?Zanzibar hapafai. Kuna mtu kapigwa 9
hawaamini wanachokiona kwa kideo wanauliza kwan SSC mganga wao ni nani na wao waendena hili pira linalopigwa hapa basi ndo wanazidi tu kuvurugana [emoji23][emoji23]
Hapana kwani mechi ya leo mlicheza na mbeya kwanza?Hivi inamaana Mayele ameshindwa kabisa kutusaidia leo? Au ndio asha anza pozi?