Huwa anatafuta likes tu.Unapenda kuanzisha nyuzi afu hutoi updates[emoji23]
Hilo sio swali.usikute kocha wa Namungo Julio anaombea Mnyama afunge
Afu simba bingwaFinal-Azam vs Simba
Jaribu kuandika vitu vinavyoeleweka basi mkuu, umenipa tabu sana kuelewa hapo kwenye "otherwise" .Ilikuwa ni offise azawaizi ilikuwa penalty pale