FT: Simba 2 Namungo 0. Simba yatinga fainali ya Mapinduzi Cup 2022

hichi kikosi cha leo Mr.Tikitaka hataki masihara leo [emoji39][emoji39]
 
Ilikuwa ni offise azawaizi ilikuwa penalty pale
 
mshika kibendera ana wivu kwan ungeachia ungepungukiwa na nn
 
Kapombe akiendelea Hivi Leo Atakuwa ametakata

06’ Bila Bila
 
Ebu chekini mpira ulivyokuwa mzuri
 
Mpira una stimu namna hii, sio butua butua tu ilimradi uonekane umeupiga mpira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…