ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
- Thread starter
- #101
Sakho Anachezewa Mazambi hapa na Referee kapetaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi yanga wanajisikiaje wakimuona sakho ?? [emoji23]
Ila Replay ya Azam ni mbaya sana, magoli matamu ila kutokana na ubovu reply unashindwa kuburudika.
Simba 2??Dakika ya 23 Simba 2 Namungo 0
Usiwafanyie hivyo basi mkuu [emoji23][emoji23]Dakika ya 23 Simba 2 Namungo 0
Tunaomba na goli mkuuAmbao hamko karibu na screen Hii ndio kona waliyotukosa namungo
View attachment 2076224
Tunaomba na goli mkuu
Kwani unafikiri nimefanya kwa makusudi ebu ngoja nibadiliUsiwafanyie hivyo basi mkuu [emoji23][emoji23]